Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,527
- 46,054
Walikutapeli nini?Pamoja na udhaifu wa ccm lakini ni afadhali kuliko matapeli chadema
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Walikutapeli nini?Pamoja na udhaifu wa ccm lakini ni afadhali kuliko matapeli chadema
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Si tungeona hata chadema wanafaa! Wote ni walewale tu hamna kitu, una lengo ila hauna dira!CHADEMA haina Dhamana ya kujenga Shule Vyoo wala masoko kwani haukufanyi Kodi za Wanachi ni MWEHU ndio anaweza Kuwaza kama wewe unavyowaza
watu kama nyiye mngetakiwa hata mpigwe stiki, haya ndo madhara ya kuishi kwa shemeji.Kiherehere cha Nyerere na wazee wa bagamoyo,bora mkoloni mweupe kuliko mkoloni mweusi
Huyo "Jamaa" mwenye kitumbo, kavaa kijani ndiye mwenye hivyo vijumba?Ukiacha swala zima la utawala bora na mambo mengineyo yaliyotushinda mpaka sasa, hata hili la vyumba vya madarasa na matundu ya choo,nalo bado ni tatizo miaka 60 tangu tuanze kujitawala.
Cha ajabu, 2025 CCM watataka tena wachaguliwe ili waendelee kuongoza hii nchi na kuna watu watawapigia kura.
Alietuloga alaniwe.
View attachment 1952384
Hebu nijaribu njia nyingine huenda utashawishika kuelewa kwamba unapotoka kwa hayo uliyoandika hapo.Kiherehere cha Nyerere na wazee wa bagamoyo,bora mkoloni mweupe kuliko mkoloni mweusi
Nimecheka sana japo niko mwenyewe.Huyo "Jamaa" mwenye kitumbo, kavaa kijani ndiye mwenye hivyo vijumba?
Najua hii ni mada kati ya watani, lakini nasi tusiokuwa na unazi wa aina hii inatubidi wakati mwingine tuchangie mada kama hizi!
CCM wameharibika sana, lakini hawakuwa namna hii siku zote.
Lakini sema ukweli wako mkuu wangu 'Salary', wakati wa mkoloni ulipata kuona kitumbo kama hicho alichonacho huyo jamaa? Hayo ndiyo maendeleo na matunda ya uhuru ( wenyewe wanasema).
Naona unajaribu kujibu mapigo bwashee 🤣🤣🤣🤣Tuwekee na picha ya jengo la Makao makuu ya Chadema miaka 30 baada ya chama hicho kuasisiwa!
Ila inadhamana ya kujenga ofisi yake baada ya miaka 30. Inatia shaka hasta michango wanashindwa kuomba?CHADEMA haina Dhamana ya kujenga Shule Vyoo wala masoko kwani haukufanyi Kodi za Wanachi ni MWEHU ndio anaweza Kuwaza kama wewe unavyowaza
Umefufuka?Ukiacha swala zima la utawala bora na mambo mengineyo yaliyotushinda mpaka sasa, hata hili la vyumba vya madarasa na matundu ya choo,nalo bado ni tatizo miaka 60 tangu tuanze kujitawala.
Cha ajabu, 2025 CCM watataka tena wachaguliwe ili waendelee kuongoza hii nchi na kuna watu watawapigia kura.
Alietuloga alaniwe.
View attachment 1952384
Hii nchi hata maombi ni sawa na kupoteza muda tuUkiacha swala zima la utawala bora na mambo mengineyo yaliyotushinda mpaka sasa, hata hili la vyumba vya madarasa na matundu ya choo,nalo bado ni tatizo miaka 60 tangu tuanze kujitawala.
Cha ajabu, 2025 CCM watataka tena wachaguliwe ili waendelee kuongoza hii nchi na kuna watu watawapigia kura.
Alietuloga alaniwe.
View attachment 1952384
Naona mkuu wanoko wameshakupiga ban! Uonevu huu!!Na kusambaza hizi picha ni uchochezi.
Si ulikuwepo wakichapwa hivyo viboko ??Eenhe aisee hapa ndo Mawazo yako yamekupeleka, vile viboko walivyochapwa babu zako bado unavitamani.
Unashangaza!