Hizi ni tuhuma nzito kwa Waziri January Makamba, Je kuna ukweli hapa?

wao wanavyohangaika kumsema mama yao na kumkashifu nani anawakemea? zama zao zilishapita waendelezde kujiliza liza tu kama mazuzu nasema tena poleni sana kwa kufiwa.
BORA KUFIWA KULIKO NCHI KUWA NA WAZIRI ANAYEFIRWA MKUNDU.
 
Kama anaharibu lazima tuseme, kwa nini hajasakamwa Nape, Jenista, Ndalichako, Jaffo, Makame, Masauni nk, why only Makamba jiulize, tatizo kujifanya smart na mjuaji kuliko wengine ndo tatizo, kujifanya wewe ndo msomi na muelewa kuliko wote ndo shida, akiendelea tutamsakama mpaka mwisho akijirekebisha tutamwacha!
NAPE HUYU HUYU MZURURA NA CHOPA AU ???
 
Hii sms inatakiwa Mh. Rais wetu Mama Samia aisome, asipomtengua, basi ALL EVILS za January zitaenda kwake mteuzi.

I repeat, ALL EVILS za January zitaonekana zinatoka kwa Mama yetu, of which mie sioni hilo kwa sasa hivi.
Mie sina mashaka yoyote na kilichoandikwa hapo.
 
Back
Top Bottom