Dawa ya umbu
New Member
- Mar 23, 2022
- 2
- 0
Wewe bila shaka ni januari macamber mwenyewe ama una maslahi binafsi na yeye maana katika kila uzi wa bwana huyo unaonekana sana kuwa mtetezi wake.Leta uthibitisho wa Wizi wa January!
Wewe bila shaka ni januari macamber mwenyewe ama una maslahi binafsi na yeye maana katika kila uzi wa bwana huyo unaonekana sana kuwa mtetezi wake.Leta uthibitisho wa Wizi wa January!
Huyo ni dereva wa Luhaga MpinaKwani kaongea kwa kujificha ili useme kwani humjui?.Mtu katoa maoni yake wazi wazi alafu wewe unataka kuleta vitu visivyoendana na alichokisema.
Huyo ni dereva wa Luhaga MpinaSo what? Mbona wewe hatukujui umejificha nyuma ya pazia la JF.
Deal na allegations zake mzee.
Mustakabali wa Taifa hautokani na chuki na wivu
Kwa nini shaka iwepo ? Tatizo linaanza hapoAjibiwe kwa hoja wakati yeye hajatoa ushahidi wowote,
Kila mtu anaweza kutuhumu mtu, sema aliiba nini? wapi?
Wivu na chuki binafsiKwa nini shaka iwepo ? Tatizo linaanza hapo
Hilo lipo Nd. Robert S. Gulenga sipingi mkuu. Lkn kuna haja sasa wananchi kuwa na nguvu kuliko watawala. "Vox populi, vox dei".Wivu na chuki binafsi
Something is not right, s'thing is quite wrong mazee..
Wakuu siongezi kitu, tumsikilize mwamba hapa..!!!
View attachment 2183141
BORA KUFIWA KULIKO NCHI KUWA NA WAZIRI ANAYEFIRWA MKUNDU.wao wanavyohangaika kumsema mama yao na kumkashifu nani anawakemea? zama zao zilishapita waendelezde kujiliza liza tu kama mazuzu nasema tena poleni sana kwa kufiwa.
NAPE HUYU HUYU MZURURA NA CHOPA AU ???Kama anaharibu lazima tuseme, kwa nini hajasakamwa Nape, Jenista, Ndalichako, Jaffo, Makame, Masauni nk, why only Makamba jiulize, tatizo kujifanya smart na mjuaji kuliko wengine ndo tatizo, kujifanya wewe ndo msomi na muelewa kuliko wote ndo shida, akiendelea tutamsakama mpaka mwisho akijirekebisha tutamwacha!
ngoja waje wenyewe wakujibu uzuri wanajua mbivu na mbichi na leo meya wa kuleeee kavuliwa umeya kisa mambo yaleee, ila sukuma gang poleni tena kwa msibaBORA KUFIWA KULIKO NCHI KUWA NA WAZIRI ANAYEFIRWA MKUNDU.
Mie sina mashaka yoyote na kilichoandikwa hapo.Hii sms inatakiwa Mh. Rais wetu Mama Samia aisome, asipomtengua, basi ALL EVILS za January zitaenda kwake mteuzi.
I repeat, ALL EVILS za January zitaonekana zinatoka kwa Mama yetu, of which mie sioni hilo kwa sasa hivi.
Sawa lakini hapa kakosea kwa huyu dogo.
Sawa marope.Wewe ndio uliyerudia QT kwa huu uongo na porojo zako kuwa mh.Lowassa ana mkwe aliyekuwa TRA 🤣🤣🤣🤣
Umejigundua ulivyo mwongo na unayependa kubishania USIYOYAJUA?!!! 🤣🤣Sawa marope.