restore 1985
Member
- Dec 1, 2017
- 93
- 126
Wadau natafuta kazi jamani
Sifa nilizonazo ni hizi
1. Nna first degree ya political science and public administration
2. Nna uzoefu wa kufanya kazi kama records officer kwa miaka 2 nilikuwa shule moja hapa dsm iko boko
3. Nmefanya kazi kama adminstration officer kwenye kampuni la kukodisha magari jijini dsm
4. Nna uwezo wa kutumia excel kama kutengeneza petty cash, kuweka records za mikopo ambapo excel nnayotengeneza inaweza kupunguza deni la mdaiwa kila anapolipa automatic
5. Ms.word na power point pia naziweza vyema kwa ujumla kutumia pc kwa shughuri za kiofisi na kuitawala office naweza vyema bila kusukumwa
6. Naweza kufundisha maana pale shulen nlipokuwa nafundsha nilikuwa pia nafundsha masomo ya geography, english, history na civics
Nipo Dar es salaam, naweza fanya kazi mahali popote pale ili mradi tukubaliane tu hata mkoani naenda sihitaji kusimamiwa wala kufundishwa kazi.
Mawasiliano 0759 890 889.
Sifa nilizonazo ni hizi
1. Nna first degree ya political science and public administration
2. Nna uzoefu wa kufanya kazi kama records officer kwa miaka 2 nilikuwa shule moja hapa dsm iko boko
3. Nmefanya kazi kama adminstration officer kwenye kampuni la kukodisha magari jijini dsm
4. Nna uwezo wa kutumia excel kama kutengeneza petty cash, kuweka records za mikopo ambapo excel nnayotengeneza inaweza kupunguza deni la mdaiwa kila anapolipa automatic
5. Ms.word na power point pia naziweza vyema kwa ujumla kutumia pc kwa shughuri za kiofisi na kuitawala office naweza vyema bila kusukumwa
6. Naweza kufundisha maana pale shulen nlipokuwa nafundsha nilikuwa pia nafundsha masomo ya geography, english, history na civics
Nipo Dar es salaam, naweza fanya kazi mahali popote pale ili mradi tukubaliane tu hata mkoani naenda sihitaji kusimamiwa wala kufundishwa kazi.
Mawasiliano 0759 890 889.