Hizi ni Sababu kwanini Scotland Yard na FBI hawana uwezo wa kuchunguza Kushambuliwa Tundu Lissu

MJENGA

JF-Expert Member
Nov 18, 2012
884
848
Habarini wanajamvi. Kufuatia Tundu Lissu kumiminiwa risasi na Watu wasiojulikana, kumekuwa na madai kadhaa kuwa pengine nchi (TZ) iitishe uchunguzi huru wa kuwabaini wahusika wa tukio hilo kutoka kwa vyombo vingine vya kiuchunguzi kutoka nchi za kigeni hasa Scotland Yard ya Uingereza au FBI ya Marekani.

Kwa mtazamo wangu Scotland Yard ya Uingereza na FBI ya Marekani hawana uwezo wa kuchunguza kubaini wahusika wa mashambulizi dhidi ya Tundu Lissu. Sababu ni hizi zifuatazo:

1. FBI hadi leo wameshindwa kubaini Urusi iliwezaje kuingilia uchaguzi mkuu wa Marekani hadi kudictate matokeo ya uchaguzi huo, bila wao kubaini jambo hilo na kulizuia mapema.

2. FBI hadi leo hawajatuambia ni nani alimuua Rais John F Kennedy.

3. Hadi leo Scotland Yard hawajatuambia ni nani alimuua Princess Diana.

4. Scotland Yard, hadi leo hawajatuambia kwanini hawakuzibaini mapema athari za Uingereza kujiunga na Umoja wa Ulaya hadi miaka kadhaa imepita ndipo Uingereza inahaha kujitoa EU.

Tukielezwa na kupatiwa majibu ya mikanganyiko hiyo, nitakuwa wa kwanza kuunga mkono ujio wa hao Watu, vinginevyo ni mjambo tu kama ilivyo mijambo mingine ya wanasiasa uchwara.
 
Habarini wanajamvi. Kufuatia Tundu Lissu kumiminiwa risasi na Watu wasiojulikana, kumekuwa na madai kadhaa kuwa pengine nchi (TZ) iitishe uchunguzi huru wa kuwabaini wahusika wa tukio hilo kutoka kwa vyombo vingine vya kiuchunguzi kutoka nchi za kigeni hasa Scotland Yard ya Uingereza au FBI ya Marekani.

Kwa mtazamo wangu Scotland Yard ya Uingereza na FBI ya Marekani hawana uwezo wa kuchunguza kubaini wahusika wa mashambulizi dhidi ya Tundu Lissu. Sababu ni hizi zifuatazo:

1. FBI hadi leo wameshindwa kubaini Urusi iliwezaje kuingilia uchaguzi mkuu wa Marekani hadi kudictate matokeo ya uchaguzi huo, bila wao kubaini jambo hilo na kulizuia mapema.

2. FBI hadi leo hawajatuambia ni nani alimuua Rais John F Kennedy.

3. Hadi leo Scotland Yard hawajatuambia ni nani alimuua Princess Diana.

4. Scotland Yard, hadi leo hawajatuambia kwanini hawakuzibaini mapema athari za Uingereza kujiunga na Umoja wa Ulaya hadi miaka kadhaa imepita ndipo Uingereza inahaha kujitoa EU.

Tukielezwa na kupatiwa majibu ya mikanganyiko hiyo, nitakuwa wa kwanza kuunga mkono ujio wa hao Watu, vinginevyo ni mjambo tu kama ilivyo mijambo mingine ya wanasiasa uchwara.

Hawa ndio wachambuzi wabobezi tulio nao sasa JF, na ndio washauri wakuu wa CCM na serikali (Think Tank)
 
Mjenga mbona umejihami sana kuliko kufanya analysis yenye msingi wa hoja yako??hata kama kuna namna mtatakiwa kutetea serikali lakini mjipange vzr.maana nategemea serikali ina nafasi ya kuwa na watu wazuri kujibu kuliko hivi vituko mjenga.camoo'n... andika upyaaaa!!!!
 
Endeleeni kujikuna kwenye Mboni ya Jicho.

CIA waliwezaingia Pakistani na kumuuwa Osama na kwenda kumzika baharini bila ya serikali ya pakistani kujua kilichotekea.

The death of Osama bin Laden: how the US finally got its man

So CIA hawahitaji msaada au ruhusa ya magufuli kufanya uchunguzi. Tupowatanzania kibao tunaoweza wasaidia CIA kufanya uchunguzi kisirisiri kama Raia wa pakistani walivyosaidia CIA kumpata osama bila serkal yao kujua ingawa osama aliishi karibu na kambi ya Jeshi ya abbottabad, Pakistani.


Mi nachoweza waambia wausika waandye wanasheria wa kwenda kujitetea ICC. Muda c mrefu kunaviongozi watapelekwa kule. Hasa wale walio kwenye CC ya barua ya Bar association.
 
Hii habari wala sijaongea chochote. Halafu hujajibu hoja yangu kule, usirukie huku

Huyo boya mnafanana mtazamo, naye anaishi ndani ya propaganda za kizee kama wewe. Nimekujibu sana, nenda angalia dingi.
 
Back
Top Bottom