lusekeloe
Member
- Apr 8, 2014
- 76
- 102
Asee hapa umenena hizo kona kuelekea Muze ni balaaAcha uongo huwezi pita Kitonga kwa 120KM/h kawadanganye vijana wenzio huko Dar ambao tangu wazaliwe hawajahai kutoka kwenye huo Mkoa,
Nakuongezea kona za Ntendo-Muze (Rukwa),
Enzi hizo (urafiki) basi inabeba abiria mpaka kwenye carrierUtakuwa ulikuwa unapanda KING CROSS/MFALME WA KONA AU URAFIKI.
Nakubali aseeNamba moja ni kona za kwenda MUZE kutokea Sumbawanga. Hatari sana.
Nilizipenda sana9. Kona za Ugara - Babati kwenda Mbulu - hapa kitonga chamtoto Cha ngedele
Hapo namba 9 ni Magara sio Ugara,zile kona ni balaa,nimepita sana ile njia mpk nikazizoea.Ukipita na moto mkubwa kutokea Mbulu kuelekea Babati lazima ushikwe na kichefuchefu...Habari jamvi?, kwa wale wazurulaji nchini
Ukizunguka nchini utakutana na sehemu maarufu , kimandhari na kimuonekano.
Leo naongelea sehemu za barabara nchini ambazo Zina Kona Kali na sehemu ya milima, nataja chache nyingine ongeza
1. Kona za Iyovi - ukitoka tu mikumi kuelekea Iringa utaziona Kona hizi, ni Tamu Sana
2. Kona za kitonga - hizi zinapatikana kutoka Moro kwenda Iringa.
3. Kona za Kolo- hizi zinapatikana kutoka Kondoa kuelekea Babati
4.Kona za Nyang'olo - hizi zinapatikana unapokaribia kufika Iringa kutokea Dodoma
5. Kona za Lukumbulu Songea huko
6. Kona za Msambiazi, Korogwe kuelekea Mombo
7. Kona za Mombo kuelekea Soni - Lushoto
8.Kona za Mbeya kwenda Chunya
9. Kona za Ugara - Babati kwenda Mbulu - hapa kitonga chamtoto Cha ngedele
10. Kona za Hedaru - Vunta, Same
Ni Kona hatari lakini Tamu Sana, na mabasi huwa wanalala na Kona hizi kwa speed ya 120 yaani shaa.
Ongeza Kona Kali nyingine
Hii naijua kaka cyo ugara ni magaraKona za Ugara - Babati kwenda Mbulu - hapa kitonga chamtoto Cha ngedele
Sijawahi fika kule juu ya mlima kbs sema Kuna siku nlitoka huku babati mjini nkaenda misele kule magugu mwada magara tukazama ndani ndani sana aisee nliishia sehemu pana migunga mingi kinomaHapo namba 9 ni Magara sio Ugara,zile kona ni balaa,nimepita sana ile njia mpk nikazizoea.Ukipita na moto mkubwa kutokea Mbulu kuelekea Babati lazima ushikwe na kichefuchefu...
Chamanyani kisaki huko
Kuna siku niliendakuzika kule zile kona si mchezo mkuu.Ahahaha kwetu ukooo we mwenzangu heee
Ulikwan?!