Hizi ni kona kali na milima, kwa barabara nchini, taja nyingine

Kona za mkoa ziko mbeya to chunya..ni hatari
Mkoa moja
Videoframe_20230513_070945_com.huawei.himovie.local.jpg
Videoframe_20230513_070925_com.huawei.himovie.local.jpg
 
Habari jamvi?, kwa wale wazurulaji nchini

Ukizunguka nchini utakutana na sehemu maarufu , kimandhari na kimuonekano.

Leo naongelea sehemu za barabara nchini ambazo Zina Kona Kali na sehemu ya milima, nataja chache nyingine ongeza

1. Kona za Iyovi - ukitoka tu mikumi kuelekea Iringa utaziona Kona hizi, ni Tamu Sana
2. Kona za kitonga - hizi zinapatikana kutoka Moro kwenda Iringa.

3. Kona za Kolo- hizi zinapatikana kutoka Kondoa kuelekea Babati

4.Kona za Nyang'olo - hizi zinapatikana unapokaribia kufika Iringa kutokea Dodoma

5. Kona za Lukumbulu Songea huko

6. Kona za Msambiazi, Korogwe kuelekea Mombo
7. Kona za Mombo kuelekea Soni - Lushoto
8.Kona za Mbeya kwenda Chunya
9. Kona za Ugara - Babati kwenda Mbulu - hapa kitonga chamtoto Cha ngedele
10. Kona za Hedaru - Vunta, Same

Ni Kona hatari lakini Tamu Sana, na mabasi huwa wanalala na Kona hizi kwa speed ya 120 yaani shaa.

Ongeza Kona Kali nyingine
Hapo namba 9 ni Magara sio Ugara,zile kona ni balaa,nimepita sana ile njia mpk nikazizoea.Ukipita na moto mkubwa kutokea Mbulu kuelekea Babati lazima ushikwe na kichefuchefu...
 
Hapo namba 9 ni Magara sio Ugara,zile kona ni balaa,nimepita sana ile njia mpk nikazizoea.Ukipita na moto mkubwa kutokea Mbulu kuelekea Babati lazima ushikwe na kichefuchefu...
Sijawahi fika kule juu ya mlima kbs sema Kuna siku nlitoka huku babati mjini nkaenda misele kule magugu mwada magara tukazama ndani ndani sana aisee nliishia sehemu pana migunga mingi kinoma
 
Back
Top Bottom