cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,311
- 7,494
Imebainika kuwa asilimia kubwa za wanaume ukifuatilia kwa ukaribu majina ya watoto wao wa kwanza au wa tatu waliozaa kwenye ndoa ,majina ya kike walio wapa watoto wao ni majina ya wanawake ambao waliwahi kuwa michepuko yao
Kuna kisa kimetokea nikaanza uchunguzi nimegundua ni kweli na wanaume mna dharau hatari
Katika kisa chenyewe kuna dada mmoja yupo kwenye ndoa ameingia na mgogoro na mume wake hadi anatamani alifute jina la mtoto wake wa kwanza amuite jina lingine na huku yule mtoto alisha lizoea na yupo darasa la pili kwa jina hilo
Huyu mdada aliambiwa na mashost wake kuwa kuna mwanamke alikuwa mchepuko wa mume wake kabla hajakuoa ,ila kwa sasa kuna ishara ya kutaka kurudiana
Siku moja hakuvumilia alimfuata huyo mwanamke na kumuuliza nini kinaendelea na mume wake ndipo huyo mwanamke alimwambia maneno mazito
"Wewe unafikiri isingekuwa nyodo zangu unafikiri angekuwa mume wako au angekuwa wa kwangu, huyo mwanaume ananipenda mpaka sasa tena sana,tena ili uamini Mimi naitwa Angel na mtoto wako wa kwanza anaitwa Angel,unafikiri aliita jina langu bure kwa mtoto wake,alinipenda na mpaka sasa ananipenda"
Wanawake tuwe makini kuhoji majina ya watoto wetu wanayopewa na wanaume
Hivi na wanawake huwapa majina watoto wao wa kiume kama kumbukumbu ya mchepuko ambao alikuwa anaupenda enzi hizo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kisa kimetokea nikaanza uchunguzi nimegundua ni kweli na wanaume mna dharau hatari
Katika kisa chenyewe kuna dada mmoja yupo kwenye ndoa ameingia na mgogoro na mume wake hadi anatamani alifute jina la mtoto wake wa kwanza amuite jina lingine na huku yule mtoto alisha lizoea na yupo darasa la pili kwa jina hilo
Huyu mdada aliambiwa na mashost wake kuwa kuna mwanamke alikuwa mchepuko wa mume wake kabla hajakuoa ,ila kwa sasa kuna ishara ya kutaka kurudiana
Siku moja hakuvumilia alimfuata huyo mwanamke na kumuuliza nini kinaendelea na mume wake ndipo huyo mwanamke alimwambia maneno mazito
"Wewe unafikiri isingekuwa nyodo zangu unafikiri angekuwa mume wako au angekuwa wa kwangu, huyo mwanaume ananipenda mpaka sasa tena sana,tena ili uamini Mimi naitwa Angel na mtoto wako wa kwanza anaitwa Angel,unafikiri aliita jina langu bure kwa mtoto wake,alinipenda na mpaka sasa ananipenda"
Wanawake tuwe makini kuhoji majina ya watoto wetu wanayopewa na wanaume
Hivi na wanawake huwapa majina watoto wao wa kiume kama kumbukumbu ya mchepuko ambao alikuwa anaupenda enzi hizo?
Sent using Jamii Forums mobile app