Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Hatimaye imethibitika kuwa tafiti zilizofanyika ni za kweli kuwa Dr.W.P.SLAA anatarajia kuibuka mshindi kwa zaidi ya 60% na ndiyo maana leo tena tumesikia chombo cha juu kabisa katika ulinzi wa nchi kikitoa angalizo kwa vyama kuwa lazima vikubalieni na matokeo yanayotarajiwa KUCHAKACHULIWA mapema baada ya wapendwa wapigakura kutenda haki yao.
Nawasilisha
Nawasilisha