tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,317
Kuna mkubwa au kiongozi wa wachawi ndani ya kambi ya wakimbizi Nyarugusu Kigoma amefariki na kabla ya kufariki alitoa maagizo kwa ndugu na jamaa zake kuwa siku akifariki basi wachukue mwili wake na waukatekate viungo tofauti tofauti na kila kiungo kizikwe tofauti au kila kila kiungo na kaburi lake.
Sasa baada ya kufariki hivi juzi tu ndani ya kambi nyumbani kwake ndugu zake hawakufuata maagizo yake ya kukatakata viungo vyake ili vizikwe tofauti badala yake wakachukua mwili wa marehemu na kuupeleka hospitali ndani ya kambi.
Kilichotokea baada ya hapo kila mmoja amepigwa na butwa,toka nyumbani kwake mpaka hospitali ardhi imepasuka na kuweka mashimo na mpaka kuta za hospitali nazo imepasuka kuweka nyufa kila ukuta
Wafanyakazi na wakimbizi ndani ya kambi wamebaki kuduwaa wasijue la kufanya. Ila hakuna aliyeshiriki mpaka sasa.
Nina video zake kutoka kambini zinazoonyesha hizo nyufa za ardhi na ukuta wa hospitali ilivopasuka na audio pia ila audio ipo kwa lugha ya Kirundi sijui kama zinakubalik kuzi load hapa JF.
Sasa baada ya kufariki hivi juzi tu ndani ya kambi nyumbani kwake ndugu zake hawakufuata maagizo yake ya kukatakata viungo vyake ili vizikwe tofauti badala yake wakachukua mwili wa marehemu na kuupeleka hospitali ndani ya kambi.
Kilichotokea baada ya hapo kila mmoja amepigwa na butwa,toka nyumbani kwake mpaka hospitali ardhi imepasuka na kuweka mashimo na mpaka kuta za hospitali nazo imepasuka kuweka nyufa kila ukuta
Wafanyakazi na wakimbizi ndani ya kambi wamebaki kuduwaa wasijue la kufanya. Ila hakuna aliyeshiriki mpaka sasa.
Nina video zake kutoka kambini zinazoonyesha hizo nyufa za ardhi na ukuta wa hospitali ilivopasuka na audio pia ila audio ipo kwa lugha ya Kirundi sijui kama zinakubalik kuzi load hapa JF.