The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Okay
Kwahiyo ni yapi mawazo yako katika hili?Nimeona clip ya Mbowe anasema chanjo iwe lazima nimeshangazwa na mavazi.
Ni mavazi rasmi ya Chadema?
Mbona kama yanafanana na Eff ya Malema?
Yanaashiria nini?
Wenye clips au picha naomba muweke.
Kwahiyo ushauri wako kwaoni upi ndugu Kijumbe?🤣🤣Mkuu wangu arbab THE BOSS
Nami nimeshawahi KUANDIKA chapisho humu ndani kuhusu ulilouliza........
SITAKI KUWAITA CHADEMA NI WALAGHAI ILA WANASHANGAZA MNO.....
1)Chadema si chama Cha KIKOMUNISTI kama cha EFF chini ya Komredi TATE JULIUS MALEMA.....
2)Chadema si chama cha KIJAMAA (SOCIALIST) Kama CCM chini ya mh.Rais SSH.........
✓Ni wakomunisti wanaovaa BERETI NA MIBUTI MIGUUNI
✓Ni wakomunisti wenye salamu za kuhanikiza NGUVU YA JAMII(PEOPLE'S POWER)
Chadema imefeli KUJIBRAND mavazi mpaka salamu zao....
Komredi Yericko Nyerere aje atueleze mrengo wa kisiasa wa chama chao........🤣🤣
#KaziIendelee
🤣Biashara. Kuna mtu huko ufipa keshakula tenda ya kushona mavazi mapya.
Wewe onaonaje huyo kaula au tumbambikie uhujumu uchumi?
🤣🤣Wana jezi ya nyumbani na ugenini. As long as rangi zao zipo
Walipoanza kuvaa magwanda mlikuja na kauli kuwa wanavaa nguo za mgambo, baada ya kuona zimekubaliwa na wengi na nyie mkaanza kushona gwanda la kijani. Kama vipi na nyie anzeni kuvaa zinazofanana na kile chama chenu rafiki cha china ili ngoma iwe droo kama kwenye gwanda.Nimeona clip ya Mbowe anasema chanjo iwe lazima nimeshangazwa na mavazi.
Ni mavazi rasmi ya Chadema?
Mbona kama yanafanana na Eff ya Malema?
Yanaashiria nini?
Wenye clips au picha naomba muweke.
Wapi waliberali+mabepari wakavaa bereti vichwani ?🤣Wewe onaonaje huyo kaula au tumbambikie uhujumu uchumi?
CCM kuvaa magwanda ya kijani ni sawa tu.....Walipoanza kuvaa magwanda mlikuja na kauli kuwa wanavaa nguo za mgambo, baada ya kuona zimekubaliwa na wengi na nyie mkaanza kushona gwanda la kijani. Kama vipi na nyieanzeni kuvaa zinazofanana na kile chama chenurafiki cha china.
ni baada ya kuugua ugonjwa wa akili ndio maana aka jinikname hivyoMagonjwa mtambuka. Kwa nini ulijiita magonjwa mtambuka? Ulishawahi kuugua ugonjwa wowote wa akili? Je jina la magonjwa mtambuka ulipewa na wazazi wako au ulilipata baada ya kuugua ugonjwa wa akili?
Lakini mlianza kwa kuwaponda chadema kisha kidogo kidogo mkaanza na nyie kuvaa gwanda, hivyo nina uhakika soon mtaanza kuvaa nguo zinazofanana na za chama kinachoongoza chinaCCM kuvaa magwanda ya kijani ni sawa tu.....
Wajamaa huvaa magwanda ,mashati ,bereti....ila CHADEMA mmmh 🤣
wanatudhurumu na kwenye miamalaMwendawazimu mwingine huyu, mnavyokua majizi pale kwenu mmewadhulumu Startv, Mmewadhulumu Efm na mlimdhulumu Shigongo, ulidhani basi kila MTU ana hulka ya wizi kama nyie
Tuliwaponda kwa kufeli kimavazi....Lakini mlianza kwa kuwaponda chadema kisha kidogo kidogo mkaanza na nyie kuvaa gwanda, hivyo nina uhakika soon mtaanza kuvaa nguo zinazofanana na za chama kinachoongoza china
Ukiona hivyo umepata kuona na kutambua.Wapi waliberali+mabepari wakavaa bereti vichwani ?🤣
Mbowe naye anatuburuza bwana! Yameiga kwa Malema!!Nimeona clip ya Mbowe anasema chanjo iwe lazima nimeshangazwa na mavazi.
Ni mavazi rasmi ya Chadema?
Mbona kama yanafanana na Eff ya Malema?
Yanaashiria nini?
Wenye clips au picha naomba muweke.
Nimeuliza swali mkuu?Ukiona hivyo umepata kuona na kutambua.
Tuliwaponda kwa kufeli kimavazi....
Chadema si Chama cha KIKOMUNISTI WALA KIJAMAA useme "GWANDA" ni stahiki yao....sijui kama unanipata kijana wa UFIPA?