MP CHACHANDU
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 875
- 615
01: wizara ya utumishi wa umma na utawala bora,waziri angellah kairuki, mfano wa matamko tumefuta ajira za viajna 3000 tuliowaajiri mwezi June 2016 hatuitambui mikataba yao mfano mwingine ,zoezi LA uhakiki wa watumishi hewa ni endelevu, mfano mwingine uhakiki hautazidi miezi miwili .nk
02: wizara ya elimu sayansi na teknolojia ,waziri wake joyce ndalichako,mfano wa matamko ,mikopo ya chuo kikuu siyo sadaka tutatoa kwa wachache, tumefuta foundation kozi kwennda kusoma chuo kikuu, ajira ni kwa walimu wa sayansi tu kwanza.nk
03: wizara ya fedha,mfano wa matamko tra wameongeza mapato.
04: wizara ya mambo ya ndani ya nchi, mfano wa matamko tumezuia mikutano ya kisiasa ya nje sababu za kiintelijensia
05: wizara ya viwanda ,mfano wa matamko ,viwanda vidogovidogo vimefunguliwa vingi.
06: wizara ya ujenzi ,a.k,a bomoa bomoa
07: Tamisemi,waziri wake simbachawene na jaffo mfano wa matamko ajira za walimu zitatoka mwezi may 2016 akijibu swali bungeni naibu waziri jafo
08: wizara ya afya ,waziri wake ni ummy mwalimu mfano wa matamko hakuna ukosefu wa madawa hospitali ,hakuna ugonjwa wa zika .nk
Hizi ndoo baadhi ya wizara ambazo Mara kwa Mara zimekuwa zikitoa matamko ambacho yamekuwa yakitoa machozi kwa wananchi na kuwaacha wananchi wakishangaa.
02: wizara ya elimu sayansi na teknolojia ,waziri wake joyce ndalichako,mfano wa matamko ,mikopo ya chuo kikuu siyo sadaka tutatoa kwa wachache, tumefuta foundation kozi kwennda kusoma chuo kikuu, ajira ni kwa walimu wa sayansi tu kwanza.nk
03: wizara ya fedha,mfano wa matamko tra wameongeza mapato.
04: wizara ya mambo ya ndani ya nchi, mfano wa matamko tumezuia mikutano ya kisiasa ya nje sababu za kiintelijensia
05: wizara ya viwanda ,mfano wa matamko ,viwanda vidogovidogo vimefunguliwa vingi.
06: wizara ya ujenzi ,a.k,a bomoa bomoa
07: Tamisemi,waziri wake simbachawene na jaffo mfano wa matamko ajira za walimu zitatoka mwezi may 2016 akijibu swali bungeni naibu waziri jafo
08: wizara ya afya ,waziri wake ni ummy mwalimu mfano wa matamko hakuna ukosefu wa madawa hospitali ,hakuna ugonjwa wa zika .nk
Hizi ndoo baadhi ya wizara ambazo Mara kwa Mara zimekuwa zikitoa matamko ambacho yamekuwa yakitoa machozi kwa wananchi na kuwaacha wananchi wakishangaa.