AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
Asante dada maana kidogo nipasuke kwa hasira hapa nilipo duh!Anyway umeamkaje lakini dada?Mwambie shem leo naja kuwatembelea,utaniandalia kile chakula tulichokuwa tunakipenda utotoni!!
Niko pouwa... Leo natolewa outing na shemejio mchana...
unaonaje tufanye next weekend hasa ukizingatia chakula upendacho
cha chukua mda saana kuandaa...