Saint Ivunga na Asha D,king'ast na Mzee Mwanakijiji,Husninyo na Sharo hiphop,Lizzy na nanihiii!!Vp ingekuwa vp?
Asha nimekupatia nini?
Hii kali... Dah!</p>
<p> </p>
<p>Hapa Eiyer nimetoka katika thread yako hapo nje</p>
<p>kukwambia mapungufu ya thread ulotuma (Aiseeeeeeeeee...)</p>
<p>Hapa sasa umenimaliza!! sina hata la kuongeza....
mimi na Eiyer....wat a couple! Mlimazunzu mdhamini
hallucinations! pole,pata kahawa kwanza manake wknd ndo inaanza!
Mpenzi you can not imagine... nashukuru tu mupenzi hayupo maana angepitia huu uzi Eiyer angekua kawasha moto!</p>
<p>Unajiandaa vipi na weekend??
Saint Ivunga na Asha D,king'ast na Mzee Mwanakijiji,Husninyo na Sharo hiphop,Lizzy na nanihiii!!Vp ingekuwa vp?
mwenzanguuu! ngoja huyu baba hapa aamke manake leo nna kazi ya kuhakikisha haingii humu! huyu eiyer atanikosesha shopping ya wknd!
wknd nipo tu my dear, nazimua na kahawa hapa akili ikunjuruke.
King'asti siku nyingine relaxisha akili kidogo...lol.. wewe kila siku unaishulubisha! </p>
<p>Hio kahawa not more than one cup.. Ni sat tunaruhusiwa kujiachia...[/QUOTE
nirelaxishe hii akili kiduchu mamii,itaweka neutral/free afu iwe balaa. hebu nipe desa kwanza la kizimulio...
King'asti siku nyingine relaxisha akili kidogo...lol.. wewe kila siku unaishulubisha! </p>
<p>Hio kahawa not more than one cup.. Ni sat tunaruhusiwa kujiachia...[/QUOTE
Hapa hata desa halina haja... umeanza vizuri si umesema uko na mzeya hambo pembeni... Do the needful...
Haaa,King'ast,unamsubiri Mzee Mwanakijiji aamke!!Kumbe naweza kuchukua nafasi ya yule mtabiri naniiii!
afadhali,manake nilikuwa namuwazia mbona ametuficha wa kwake?