Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,920
- 14,819
Meona ee na kumtegemea Sana mwanaume wao wakiwa wamekaa Tu🏃🏃🏃Shida kubwa kwenye haya mausiano,watu wengi wanaingia na imagination kubwa sana....huko ndio kufell.
Tabu kwel kwel.....Meona ee na kumtegemea Sana mwanaume wao wakiwa wamekaa Tu
Ndoa sio heshima ndugu.Sasa mbona wanatushutumu ambao hatujaingia ndoani tunaambiwa tuna tabia mbaya pia wanadai ndoa ni heshima.
Bora uwe single uishi maisha utakavyo, kuliko kuwa kwenye ndoa na furaha hakuna.Wakuache best, we ishi maisha yako, tafuta furaha yako, Ndoa utakuja Tu
Hao wanaokushitumu wanalia Tu NI vile hawakuambii wanakuonea wivu kwanini wewe unafuraha haujaolewa wao wameolewa wanalia?!
Akili kumkichwa shangazi
Natamani siku moja niyaone macho yakodaah
Natamani siku moja niyaone macho yako
Sina muda wa kutania bibie, nipo serious kwenye hiliweee unasema kweli
NAKAZIABado naendelea kurekodi VIPINDI vyangu vya YouTube, ndio maana skuhizi siandiki Uzi Sana huku hata HADITHI kwenye website nimesimama Kwanza, YouTube unachukua muda wangu mwiingi nikitoka hapo chokest !
naenda ku-du na mume alafu kushakucha narudi studio tena.
Anyway wiki hii nilikuwa na wageni studio, tunadiskasi kuhusu ndoa Kwa ujumla, Kila mmoja alifunguka Kwa jinsi anavyoishi ndoa yake Ila mgeni mmoja alinishangaza maana Namjua ana ndoa ya Miaka 10 lakini Hana furaha
Mgeni: Money Stars (Money Penny), ndoa Kwa upande wangu nashindwa kuielezea lakini imefika mahali nataka nitoke tu hapo mume wangu, watoto na wakwe hawajui
Kusema kweli siko na furaha kwenye ndoa yangu, ndio niliolewa Kwa harusi kubwa, TULIKUWA tunapendana kama MARAFIKI lakini mwanaume tangu ameingia kwenye ndoa alibadilika baada ya Sisi kupata mtoto mmoja
Money Penny: kivipi?
Mgeni:
1. Mawasiliano yetu yalipungua, nikawa lonely tukawa hatu connect, zamani SMS na simu zilikuwa nyingi siku hizi hamna kabisa
2. Anarudi nyumbani amechelewa akija ananikuta nimelala anaondoka Asubuhi Sana.
3. Sioni Upendo Kwa mume tena, kama zamani
Ndio analeta chakula ndani lakini Mapenzi Penny NI zaidi ya Chakula kifupi simwelewi na huu NI mwaka WA 10 WA ndoa
Nimejaribu Kuongea nae lakini naona kama hatuelewani nadhani anahisi naongea kichina sijui
Money Penny: mmejaribu kwenda counselling labda?!
Mgeni: hataki kusikia hayo mambo kabisa sielewi Mume wangu amelogwa?!
Kwakweli likija kwenye swala la ndoa, sishauri waingie kwenye ndoa Kwa haraka, Bora wake hata Miaka 3 au 4 ndio waoane, lakini hata hivyo wamwombe Mungu Sana, wanaume sijajua huwa wanabadilikaga wapi wakishaingia kwenye ndoa.
Hizi ndoa hizi ndoa hizi, naona vijana wanatamani Sana ndoa Ndoa Ndoa, lakini wenye ndoa wengi hawana Raha, wenye Raha kwenye maisha NI wale walioko singo Tu, natamani kuwa singo Kwa sasa lakini sielewi Jamii itanionaje sina Raha na ndoa yangu kabisa
Hizi ndoa, ndoa Ndoa hizi money penny, washauri vijana wasikimbilie kabisa, hakuna Raha yeyote🙆😭
Nipo hapa boss.niombe anipe ubavu wangu kweli kweli nisije kulia kama wewe
Kumbe
Nipo hapa boss.
VP glass imepasukaweee
KabisaMuoane kama ndoa inawapa furaha, kama unaona una furaha kuwa mwenyewe ndio maisha hayo, kufuata ya watu waone mmeoana huku furaha hamna mzigo mtaubeba wenyewe.
KabisaKweli Bora uwe single uishi maisha utakavyo, kuliko kuwa kwenye ndoa na furaha hakuna.
ShukraniNAKAZIA
Ndoroooboe 🚶🚶🚶🚶Miaka 10 kavumilia yote hayo...leo ndo anasema kashindwa.
Nahisi ni wanawake wachache sana wanaoingia kwenye ndoa kwa MAPENZI..
Majority wana sababu zao, nje kabisa. Ndo haya tunayoyaona.
Mwambie aende TU..!
Tusichoshane.
Miaka 10 kavumilia yote hayo...leo ndo anasema kashindwa.
Nahisi ni wanawake wachache sana wanaoingia kwenye ndoa kwa MAPENZI..
Majority wana sababu zao, nje kabisa. Ndo haya tunayoyaona.
Mwambie aende TU..!
Tusichoshane.