JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,846
- 2,936
Kwa wafugaji mtanielewa, kuna wakati ukiwa na majike matupu mfano ya kuku basi unalazimika kutafuta dume la mbegu, kazi yake ikiwa ni kutoa mbegu tu. Tabia hii hata kwa binadamu ipo, yapo madume ya mbegu na hizi ndo tabia zao, unakuta mume lakini huduma za mahitaji ya nyumbani yanafanywa na mwanamke, mwanaume wa hivyo ni dume la mbegu, au unakuta mwanaume ana mpenzi lakini hata hamhudumii mwanamke yule, hilo nalo ni dume la mbegu na mujini madume ya mbegu yamejaa teleeeee.