Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,110
- 26,997
Ha ha ha mambo ya ChaugingiNjoss wazee wa ulanzi
Ha ha ha mambo ya ChaugingiNjoss wazee wa ulanzi
Tukuyu Polisi na Amani Tanga mbona hazipo hapo? Maana hizo ndiyo shule za kwanza nchini.
"Our motto liberation, eduation we get should liberate us" - hii ni NJOMBE SECONDARY a.k.a NJOSS
Sasa nakuja kuitaja Shule moja tu ya BOY'S Tanzania hii, nikisema mim nmesoma Boys namaanisha ni SONGEA BOY'S tu kwani kuna boys moja tu Tanzania nzima.
Box 2 nyoosha kidole cha kati juuuuuuuuuu
Kama kilakala haipo Mod wafute uzi huu ukapangwe upya. Huwezi kuitaja Mzumbe bila kilakala
Ilikuwa balaa ndio tulikuwa tunatoana stress kwa muziki enzi hizo vibao vya Lady Madona, Break dance za Michael Jackson, vinatamba
Tunavaa suruali dont touch, nywele umepiga push back usafiri kwenda disco Kilakala gari la shule Isuzu TXD hili ni lori
Kama kilakala haipo Mod wafute uzi huu ukapangwe upya. Huwezi kuitaja Mzumbe bila kilakala
Ilikuwa balaa ndio tulikuwa tunatoana stress kwa muziki enzi hizo vibao vya Lady Madona, Break dance za Michael Jackson, vinatamba
Tunavaa suruali dont touch, nywele umepiga push back usafiri kwenda disco Kilakala gari la shule Isuzu TXD hili ni lori
Mlitisha sana mpka mlikaa kwenye siti za wazazi dah kantalamba!!Kitendo cha kujiunga na shule ile automatically unajikuta ushakuwa mhuni Wa aina flani, kupitia michezo ya bonanza la manispaa tulikuwa tunavuruga amani manispaa yotee. Siku Kanta wakiwa zamu kucheza basi ffu walikuwa hawakai mbali na Mara kadhaa wametushindwa, tulikuwa tukitoka Nelson Mandela stadium tunafunga njia st. Theresia tunasindikiza "wachumba" zetu. Kitendo hicho kilichukiza Sana polisi Ndio maana Siku ulivotokea mgomo walikuja wamejipanga tukakomeshwa.
.....uvamizi Wa sherehe za mtaani ulizidi sana had kuna siku washkaji waliwahi kwenye tukio LA kipaimara wakaa kwenye siti ya wazazi wa mtoto.
....but maisha ya pale shule yalitujenga kuwa imara, wapambanaji, maana kusavaivu maisha ya pale basi hakuna sehemu waweza shindwa ishi.
....pia kitaaluma tulikuwa vizuri na hadi sasa shule kitaaluma iko vizur sana, kitendo cha kuwepo pale vijana wote uwa wanapambana Kwa kushirikiana kwenye mambo yote hususan ya kitaaluma.
ALWAYS AIM HIGH
Mlizikuta Jango"s laws??Aisee mpaka nimevikumbuka vile vimachungwa vya kule Ochard chini ya Dorm 30 pale na Vimbuzi vya Mama Rehema..
Bahati nzuri niliishi Iyunga na IST hivyo ninazifahamu vizuri sana na zote zlikuwa European School. Sifa kubwa ya Mbeya School (Iyunga) ni mmoja wa marais wa makaburu alisoma hapo! Miaka ya hamsini.Nimekucheki nimeona una akili sana ila uangalifu ndio huna. .. nimemsema mleta mada ni kama kajianzishia tu thread na Heading yake ni neno Shule... sasa kwa mtu makini hata ukiwa ni mtihani Anasoma kwanza instructions... na sio kuanza tu kujibu maswali... watu wengi mitaani wamefail life kwa kutokuwa makini tokea mashuleni kwao walianzia ila wana akili sana tunawaona kwenye shughuli mbalimbali wabazozifanya...
So hauhitaji kunikosoa kuhusu heading na maneno niliyoandika labda uwe mtu mbishi for funny....
Saidia mada kwa kuweka age ya hizo Shule na useme ukongwe unaanzia age gani...
Hivi mtu wewe upoje? IST ni shule au sio Shule? Nadhani lengo lako halipo kwenye Mada husika zaidi ya kuleta story zako zisizo eleweka! Tafuta mtu mwenye mawazo yanayofanana na yako mchati... I only deal na watu wanaofuata Mada and not nje ya Mada... maana ulikuja speed kunipinga kuwa IST sio shule.. and then unaleta mambo mengineBahati nzuri niliishi Iyunga na IST hivyo ninazifahamu vizuri sana na zote zlikuwa European School. Sifa kubwa ya Mbeya School (Iyunga) ni mmoja wa marais wa makaburu alisoma hapo! Miaka ya hamsini.
Inawezekana unaandika bila kusoma, nilieleza IST haikuwa sekondari nikijua mada inahusu sekondari tu enzi hizo husika na lini IST sekondari ilipoanzishwa, pia nilieleza Iyunga sekondari ilivyoanzishwa na ilivyokuwa, sijui ubishi kuhusu uhalisia wa shule hizo mbili uko wapi, inawezekana wewe unazikia tu, mimi nimepitia shule hizo na si stori kama unavyodai na wala sioni ubishi unaanzia wapi, unadhani ni uelewa au kuandika jambo kwa mihemko.Hivi mtu wewe upoje? IST ni shule au sio Shule? Nadhani lengo lako halipo kwenye Mada husika zaidi ya kuleta story zako zisizo eleweka! Tafuta mtu mwenye mawazo yanayofanana na yako mchati... I only deal na watu wanaofuata Mada and not nje ya Mada... maana ulikuja speed kunipinga kuwa IST sio shule.. and then unaleta mambo mengine
I see a brother, Mzukila!Kama kilakala haipo Mod wafute uzi huu ukapangwe upya. Huwezi kuitaja Mzumbe bila kilakala
Ilikuwa balaa ndio tulikuwa tunatoana stress kwa muziki enzi hizo vibao vya Lady Madona, Break dance za Michael Jackson, vinatamba
Tunavaa suruali dont touch, nywele umepiga push back usafiri kwenda disco Kilakala gari la shule Isuzu TXD hili ni lori
HIZI NDIO SHULE 105 KONGWE TANZANIA.kama jina la shule uliyosoma wewe haipo hapa basi ujue akili zako za kulazimisha
Shule hizo ni;
1.Mzumbe
2.Milambo
3.Kantalamba
4.Minaki
5.Iyunga
6.Kibaha
7.Mazengo
8.Tosamaganga
9.Tabora boys
10.Mtwara tech
11.Moshi tech
12.Tabora girls
13.Pugu
14.Ifakara girls
15.Tambaza
16.Azania
17.Msalato
18.Kilakala
19.Umbwe
20.Rungwe
21.Songea boys
22.Masasi girls
23.Kigonsera
24.Tarime
25.Sengerema
26.Shinyanga"shy bush"
27.Ndanda
28.Njombe sec
29.Kigoma
30.Kwiro
31.Bwiru boys
32.Bwiru girls
33.Nsumba
34.Lindi
35.Bagamoyo
36.Kibiti
37.Jitegemee
38.Kabanga
39.Mpwapwa
40.Bihawara
41.Same
42.Weruweru
43.Kifungilo
44.Galanosi
45.Nangwa
46.Korogwe girls
47.Nyegezi seminari
48.Kilosa
49.Tunduru
50.Ndwika
51.Chidya
52.Mwenge
53.Maposeni
54.Ngudu
55.Igawilo
56.Msolwa
57.Mambwe
58.Lugalo
59.Makongo
60.Ifunda tech
61.Iliboru
62.Kidugara
63.Iringa girls
64.Maswa girls
65.Mahiwa
66.Marangu
67.Arusha
68.Ngaza
69.Usagara
70.Ihungo
71.Maua seminary
72.Uru seminary
73.Lyamungo
74.Mafinga seminary
75.Kirinjiko
76.Tanga tech
77.Kibosho girls
78.Kibondo
79.Mara
80.Jangwani
81.Machame girls
82.Korogwe girls
83.Uwemba
84.Pamba
85.Kahororo
86.Nyakato
87.Sangu
88.Kibasila
89.Karatu
90.Ngudu
91.Iliboru
92.Kindondoni Muslim
93.Ashira
94.Kaengesa
95.Magamba
96.Zanaki
97.Tasamaganga
98.Mwika
99.Old moshi.
100. Imboru
101.Singe Sec
102.Madunga
103.Malangali
104.Ifunda
105.Songea girls
Haya muweke # SIHA SECONDARY SCHOOL hapo.Kama nimeitaja shule yako jitokeze na uitaje umpate school mate mwenzio muunde undugu.. Nimepanga randomly bila kufuata utaratibu wowote..
1.Mzumbe
2.Milambo
3.Kantalamba
4.Minaki
5.Iyunga
6.Kibaha
7.Mazengo
8.Tosamaganga
9.Tabora boys
10.Mtwara tech
11.Moshi tech
12.Mwakaleli
13.Tabora girls
14.Pugu
15.Ifakara
16.Mtwara girls
17.Tambaza
18.Azania
19.Msalato
20.Kilakala
21.Umbwe
22.Rungwe
23.Songea boys
24.Masasi girls
25.Kigonsera
26.Tarime
27.Malangari
28.Sengerema
29.Shinyanga ''Shy bush''
30.Ndanda
31.Njombe sec ''njosi"
32.Kigoma
33.Kwiro
34.Bwiru boys
35.Bwiru girls
36.Nsumba
37.Lindi
38.Bagamoyo
39.Kibiti
40.Jitegemee
41.Kabanga
42.Mpwapwa
43.Bihawana
44.Same
45.Weruweru
46.Kifungilo
47.Galanosi
48.Nangwa
49.Morogoro
50.Korogwe girls
51.Kilosa
52.Tunduru
53.Ndwika
54.Chidya
55.Mwenge
56.Maposeni
57.Ngudu
58.Igawilo
59.Msolwa
60.Mambwe
61.Lugalo
62.Makongo
63.Ifunda tech
64.Iliboru
65.Kidugala
66.Iringa girls
67.Maswa girls
68.Mahiwa
69.Marangu
70.Arusha
71.Ngaza
72.Usagara
73.Ihungo
74.Maua seminary
75.Uru seminary
76.Lyamungo
77.Mafinga seminary
78.Kirinjiko
79.Tanga tech
80.Kibosho girls
81.Kibondo
82.Mara
83.Jangwani
84.Nyegezi seminary
85.Machame girls
86.Namupa seminary
87.Uwemba
88.Pamba
89.Kahororo
90.Nyakato
91.Sangu
92.Kibasila
93.Mawenzi
94.Karatu
95.Kindondoni Muslim
96.Ashira
97.Kaengesa seminary
98.Magamba
99.Zanaki
100.Old Moshi