miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,414
- 10,970
Tuko pamoja mkuu rungwe the champions ulikua bweni gani mkwawa au mbangulaDar Rungwe boys,Rungwe the champions my lovely school shule ambayo mpaka Leo Sera yake ya ujasiriamali ek activities kwa ujumla zimeimalika sana mpaka miaka ya karibuni
Nilikua napitia kuangalia hapa wadau wangu wa i Big kumbe upoRungwe boys EDUCATIO EST LABOR
Kongwe ni very relative. Kuna watoto wengi humu.Umeorodhesha shule za juzi juzi unaziita kongwe? How? Feza, marian tangu lini zikawa kongwe?
Watu wote waliosoma rungwe nikiangalia sio wakongwe wa jf karibu mkuu tuko pamoja rungwe the champions22 Rungwe
Rungwe the champions[HASHTAG]#Tosamaganga[/HASHTAG] na [HASHTAG]#Rungwe[/HASHTAG] tukutane hapa
Kwanini hujaiweka kwenye list?
Check no.63 mkuuKwanini hujaiweka kwenye list?
Unaijua Ifunda tech au unatoa list kwa mihemko?