The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,254
- 42,873
Ukongwe maana take nini?
Ifunda girls imeanzishwa mwaka 2005 na batch mbili au tatu zimeshika umwisho kitaifa.
Dah! Wametuvurugia sana shule chama letu. Wakati tunaondoka ndio walianzisha A level baadae ikaanzishwa shule ya wasichana kilipokua chuo cha ualimu.
.
.
.
Ifunda the glorous Technical School live long forever...with our motto, skill and efficiency!!! Usiombe huu wimbo unaimbwa Mazengo hall na haujapata nauli. Hiyo ilikua inaitwa KULAZWA!