kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,636
- 7,005
Huyo jamaa hajatumia busara kabisa. Ilitakiwa waongee wasameheane tu ili yaishe. Kutoboana macho siyo sahihi kabisa
Hili jambo si rahisi kama unavyolisema.Oa halafu ugongewe ndio utajua jamaa kwa nini alifanya hivyo.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums