LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,167
Kuna taa huwa inawaka kwenye raum new model inakuwa nyekundu ni triangle katikati ina alama ya mshangao. Watu wengi wamekuwa wanapigwa hela kwa mafundi huku wengine wakisema kuwa wana wapimia na mashine na wengine mafundi wanahangaika nayo sana.
Taa hiyo huwa inawaka kama utawasha gari au endesha gari na hujafunga mkanda au huja funga vizuri milango. Au kuna mlango upo wazi haujafunga vizuri na hasa milango ya nyuma ile ya kufunga automatic hasa mlango wa upande wa kushoto ndio huwa unasumbua sanaaa.
Taa hiyo ikiwaka asilimia 99% huwa inakuwa milango haijafungwa vizuri au dereva hujavaa mkanda.
Taa hiyo huwa inawaka kama utawasha gari au endesha gari na hujafunga mkanda au huja funga vizuri milango. Au kuna mlango upo wazi haujafunga vizuri na hasa milango ya nyuma ile ya kufunga automatic hasa mlango wa upande wa kushoto ndio huwa unasumbua sanaaa.
Taa hiyo ikiwaka asilimia 99% huwa inakuwa milango haijafungwa vizuri au dereva hujavaa mkanda.