Sio ubishi tena, Janga la ajira ni changamoto kubwa sana kwa kizazi Cha Sasa . Tujikumbushe kidogo
Tarehe 12/12/2014 ilikuwa ni siku ya usaili ya nafasi za kazi 50 tu zilizotangazwa na TRA takribani mwezi kabla ya tarehe ya usaili., baada ya kufanya short listing wakapatikana watu zaidi ya 10,000+ wenye sifa za kazi na wote wakaitwa kwenye usaili.
Tarehe 13/06/2014 mwaka huohuo uhamiaji walitoa tangazo la nafasi za kazi za watu 70 tu na Baada ya kufanya short listing wakapata pia watu zaidi ya 10,000+ wenye sifa za kufanyiwa usaili na ukafanyika pale uwanja wa taifa, ulituhumiwa kughubikwa na urasimu mwingi sana.
Hizi saili watu wa ndani niliopata kuzungumza nao kwenye hizi taasisi walisema walijatihidi sana kuwaondoa watuma maombi ambao maombi yao yalikuwa na makosa hata yale madogo lakini haikusaidia kupunguza namba ya wingi wa watu.
Baada ya kutokea hivo, naona saili za serikali zimekuja na mikakati mikali sana kwenye Short listing tangu 2015 haya mambo hayawezi kujitokeza tena.
Hizo saili zitabaki historia hapa nchini, na kijana uliyeko chuoni, umehitimu au mtaani yajue haya pambania maisha yako ajira ikukutie buko.
Serikali hizi za Africa hazina Cha kupoteza hata Kama ukizeeka ukiwa huna ajira, pambana uwin maisha yako, Japo ni ngumu sana lakini inawezekana.
Tarehe 12/12/2014 ilikuwa ni siku ya usaili ya nafasi za kazi 50 tu zilizotangazwa na TRA takribani mwezi kabla ya tarehe ya usaili., baada ya kufanya short listing wakapatikana watu zaidi ya 10,000+ wenye sifa za kazi na wote wakaitwa kwenye usaili.
Tarehe 13/06/2014 mwaka huohuo uhamiaji walitoa tangazo la nafasi za kazi za watu 70 tu na Baada ya kufanya short listing wakapata pia watu zaidi ya 10,000+ wenye sifa za kufanyiwa usaili na ukafanyika pale uwanja wa taifa, ulituhumiwa kughubikwa na urasimu mwingi sana.
Hizi saili watu wa ndani niliopata kuzungumza nao kwenye hizi taasisi walisema walijatihidi sana kuwaondoa watuma maombi ambao maombi yao yalikuwa na makosa hata yale madogo lakini haikusaidia kupunguza namba ya wingi wa watu.
Baada ya kutokea hivo, naona saili za serikali zimekuja na mikakati mikali sana kwenye Short listing tangu 2015 haya mambo hayawezi kujitokeza tena.
Hizo saili zitabaki historia hapa nchini, na kijana uliyeko chuoni, umehitimu au mtaani yajue haya pambania maisha yako ajira ikukutie buko.
Serikali hizi za Africa hazina Cha kupoteza hata Kama ukizeeka ukiwa huna ajira, pambana uwin maisha yako, Japo ni ngumu sana lakini inawezekana.