Hizi ndizo sababu zinafanya Tanzania kutokuwa na Nuclear Plant ya kuzalisha umeme

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,720
Umeme wa Nucler plant ni umeme wenye teknolojia ya juu sana na umakini kuliko kitu chochote kwa sababu ikitokea tatizo basi madhara yake ni makubwa.

Umeme huu utengenezwa na uranium ya isotope -235 na usabisha joto ambalo kuzimika kwake uchukua mda mrefu kutokana na radiation zisizo pungua wakataki wa uchavushaji joto.

Gram 1 ya uranium ni sawa na makaa ya mawe yenye uzito wa kilo 2500kg.
kama tutakuwa na kilo moja uranium ina weza kuzalisha umeme sawa kwh 2500000000 bila kuzima.

Tatizo linakuja kushindwa kuwa na mfumo huu :

*Ufinyu wa wataalamu na umakini
bado nchini kwetu tuna sababu ya kutoweka kwa sababu idadi ya watalaamu ni ndogo au hakuna kabisa kuendesha na pia umakini kuepuka kulipuka au kuungua.

*Usalama na matumizi mbadala
uchavushaji wa uranium wa kuzalisha umeme upelekea watu kutumia vibaya na ndio maana upelekea kutengeneza silahaa

*Hatari ya Nuclear plant
kama mtakumbuka ukrain 26 April 1986 chernobyl kilivolipuka na kusababisha mji mzima kuondolewa na kubaki kama pori.

Sasa tulivo kuwa na sifa utakuta tumekiweka ubungo pale au tabata ikatokea kama hii.
wote dar es salaam tunahama na kukuacha kama kulivo.


*Umoja wa nguvu za atomic kwenye siasa na usalama
umoja huu uogopa au kukataza watu kufanya mifumo hii kwa nchi zinazotaka kujaribu kuofia zinaweza kujiingiza kwenye mambo haya.

Elimu ya Nuclear ni nzuri kama ukielewa na ina faida kubwa kwenye swala maendeleo ya nishati ya umeme

IMG_5309.jpg
 
Ngoja waje, wabongo tuko kwenye sherehe ya kufurahia mbowe kuachiwa,

Piga kelele kwa mdee wake na elimu ya kukalili theory za 1881
 
Bado tuna changamoto kibao za kutatua hapa nchini kwetu, hata changamoto ndogondogo bado zinatushinda kuzitatua...
 
Umeme wa Nucler plant ni umeme wenye teknolojia ya juu sana na umakini kuliko kitu chochote kwa sababu ikitokea tatizo basi madhara yake ni makubwa.

Umeme huu utengenezwa na uranium ya isotope -235 na usabisha joto ambalo kuzimika kwake uchukua mda mrefu kutokana na radiation zisizo pungua wakataki wa uchavushaji joto.

Gram 1 ya uranium ni sawa na makaa ya mawe yenye uzito wa kilo 2500kg.
kama tutakuwa na kilo moja uranium ina weza kuzalisha umeme sawa kwh 2500000000 bila kuzima.

Tatizo linakuja kushindwa kuwa na mfumo huu :

*Ufinyu wa wataalamu na umakini
bado nchini kwetu tuna sababu ya kutoweka kwa sababu idadi ya watalaamu ni ndogo au hakuna kabisa kuendesha na pia umakini kuepuka kulipuka au kuungua.

*Usalama na matumizi mbadala
uchavushaji wa uranium wa kuzalisha umeme upelekea watu kutumia vibaya na ndio maana upelekea kutengeneza silahaa

*Hatari ya Nuclear plant
kama mtakumbuka ukrain 26 April 1986 chernobyl kilivolipuka na kusababisha mji mzima kuondolewa na kubaki kama pori.

Sasa tulivo kuwa na sifa utakuta tumekiweka ubungo pale au tabata ikatokea kama hii.
wote dar es salaam tunahama na kukuacha kama kulivo.


*Umoja wa nguvu za atomic kwenye siasa na usalama
umoja huu uogopa au kukataza watu kufanya mifumo hii kwa nchi zinazotaka kujaribu kuofia zinaweza kujiingiza kwenye mambo haya.

Elimu ya Nuclear ni nzuri kama ukielewa na ina faida kubwa kwenye swala maendeleo ya nishati ya umeme

Waafrika hatupo serious.Wataalamu sio lazima wawe wa nchi yako tu. Unaweza ajiri popote duniani. Usifikiri huko ulaya wataalamu ni wazungu tu, wapo waafrika,wachina,wahindi wanafanya kazi kwenye hio mitambo.

Tunahitaji sera na uwekezaji tu.
Jambo lingine kuhusu wataalamu, kama serikali ikiamua watu waliosoma physics na engineering ni wengi wanatumika kwenye idara zingine serikali inaweza kuwawezesha waksomee master ya neclear engineering.
 
Back
Top Bottom