Hizi ndizo Sababu kuu 4 za Ufisadi Tanzania

RNA

JF-Expert Member
Mar 27, 2013
1,584
2,683
Habari Wana JF,

Ufisadi Tanzania sio kitu kigeni nimekaa kwa kipindi kirefu, nimefanya Utafiti usio rasmi nimegundua kuna vitu vinne ambavyo vinafanya uendelee kuwepo kama Ifuatavyo:

1. KATIBA, kwanza haina makali pili viongozi wengi hawawajibiki kwa Wananchi, wanafanya kazi kwa ajili ya mamlaka ya Uteuzi sio wananchi. Hivyo tunahitaji katiba mpya.

2. CCM, chama hiki kina watu wengi ambao wako kwa ajili ya maslahi yao tu kibaya zaidi wana mizizi mikubwa sana suluhisho ni kukitoa kwa namna yoyote ile .tatizo ni nani wa kumpa

3. UMASKINI, wananchi wengi ni maskini sana hivyo moja wako bize kutafuta kula yao kuliko mambo ya Taifa pili wanapoteza ujasiri na uthubutu wa kuweza kuhoji mambo yanayoendelea, kikubwa wanajawa hofu.

4. UDUMAVU WA AKILI, nimefuatilia nimegundua Watanzania wengi walipata shida ya afya ya akili sababu kubwa nikapata ni lishe duni wakiwa watoto ,Ndio maana watu wanapiga pesa watu wanaangalia na wengine wako bize kwasifia /kuwapongeza na kuwatetea

Hivyo kuna haja ya kutafuta suluhisho la hivi vitu ili Nchi iwe kuendelea.
 
Kuhusu nani wakumpa Chadema,sio watz wote walioupata udumavu wa akili Kwa sababu ya lishe duni,malezi katika jamii vinamchango mkubwa pia,elimu duni Kwa wengi vinachangoa uwezo mdogo wakupambanua mambo na kuichukua hatua stahiki,katiba mpya Ile ya wanainchi ila kuchakachuliwa Ina weza tibu mengi ya uyasemayo kwenye bandiko.
 
Kuhusu nani wakumpa Chadema,sio watz wote walioupata udumavu wa akili Kwa sababu ya lishe duni,malezi katika jamii vinamchango mkubwa pia,elimu duni Kwa wengi vinachangoa uwezo mdogo wakupambanua mambo na kuichukua hatua stahiki,katiba mpya Ile ya wanainchi ila kuchakachuliwa Ina weza tibu mengi ya uyasemayo kwenye bandiko.
Hakika
 
Hizo zoote mbwembwe na zinasababishwa na sababu kuu, sisi watz ni majuha, cheki wanaume sri lanka huko, wameona msituletee mambo ya kikhanithi wamezama mpaka mjengoni.

Uhalisia ni kwamba wanasiasa wa tz wametuona sisi ni nyoka wa plastic wataleta hili, tutalalamika mitandaoni kisha litaisha baada ya wiki tu. Hapo hata kije chama gani, labda siku mungu atushushie mtu mwenye roho za mitume kidoogo tutarudi kwenye mstari. 99% ya wanasiasa wa bongo ni wazandiki, wanafiki, wachumia matumbo yao... Hakuna ambae anaanza siasa ili apambanie taifa(uzalendo) wote wanaanza siasa kama ajira
 
Hizo zoote mbwembwe na zinasababishwa na sababu kuu, sisi watz ni majuha, cheki wanaume sri lanka huko, wameona msituletee mambo ya kikhanithi wamezama mpaka mjengoni.

Uhalisia ni kwamba wanasiasa wa tz wametuona sisi ni nyoka wa plastic wataleta hili, tutalalamika mitandaoni kisha litaisha baada ya wiki tu. Hapo hata kije chama gani, labda siku mungu atushushie mtu mwenye roho za mitume kidoogo tutarudi kwenye mstari. 99% ya wanasiasa wa bongo ni wazandiki, wanafiki, wachumia matumbo yao... Hakuna ambae anaanza siasa ili apambanie taifa(uzalendo) wote wanaanza siasa kama ajira
Umeandika kwa hisia kali
 
Hizo zoote mbwembwe na zinasababishwa na sababu kuu, sisi watz ni majuha, cheki wanaume sri lanka huko, wameona msituletee mambo ya kikhanithi wamezama mpaka mjengoni.

Uhalisia ni kwamba wanasiasa wa tz wametuona sisi ni nyoka wa plastic wataleta hili, tutalalamika mitandaoni kisha litaisha baada ya wiki tu. Hapo hata kije chama gani, labda siku mungu atushushie mtu mwenye roho za mitume kidoogo tutarudi kwenye mstari. 99% ya wanasiasa wa bongo ni wazandiki, wanafiki, wachumia matumbo yao... Hakuna ambae anaanza siasa ili apambanie taifa(uzalendo) wote wanaanza siasa kama ajira
Hii ndio sababu kubwa ya ufisadi Tanzania

- Ujinga wetu watanzania.

Wabongo tumelala sana ndio maana hao CCM wanaendelea kututafuna na mifupa yetu. Sababu alizoweka hazina mashiko.

- CCM: kwani anaweza kubadili chama na bado ufisadi ukaendelea kuwepo.

- Katiba: Hii nayo ni karatasi tu, kama pasipokuwepo na jitihada za dhati kutekeleza yale yaliyomo ndani yake bado ufisadi utaendelea kuwepo.

- Udumavu wa akili: Kwa sasa tuna vyuo vingi vinazalisha graduates kwa mamia kila mwaka, hii sababu yake nayo naikataa. Hawa graduates wamejaa mitaani hawana ajira, huku gharama za maisha zinazidi kupanda kila siku lakini wapo kimya tu.
 
Umeandika kwa hisia kali
Inaumiza kinyaama, ukizunguka ndio utaona hawa viongozi miyeyusho, watu wana maisha mabovu, miundombinu mibooovu, huduma za kijamii hakuna na sehemu zinazopatikana ni za kiwango cha chini, huku watu wanapiga deals za biilioni 30, utasikia ubadhirifu bilioni 200, nchi ina madubwasha kibao, ila utasikia wameleta mara kodi ya miamala, kodi yenyewe baada ya miezi kadhaa watu wamefisadi, mafuta yako juu kwa vikodi vya kiduwanzi, mara fuel marking, sijui upuuzi gani, wao wanakula kuku kwa mrija, gari bure, matibabu bure, kula yake, kulala kwake, kila kitu bure, ila mfanyakazi wa laki 7 ndio anabebeshwa mizigo, mtanzania wa chini anabeba mizigo kinooma.

Nchi ya kifala saana hii
 
Hii ndio sababu kubwa ya ufisadi Tanzania

- Ujinga wetu watanzania.

Wabongo tumelala sana ndio maana hao CCM wanaendelea kututafuna na mifupa yetu. Sababu alizoweka hazina mashiko.

- CCM: kwani anaweza kubadili chama na bado ufisadi ukaendelea kuwepo.

- Katiba: Hii nayo ni karatasi tu, kama pasipokuwepo na jitihada za dhati kutekeleza yale yaliyomo ndani yake bado ufisadi utaendelea kuwepo.

- Udumavu wa akili: Kwa sasa tuna vyuo vingi vinazalisha graduates mamia kila mwaka, hii sababu yake nayo naikataa. Hawa graduates wamejaza mitaani hawana ajira, huku gharama za maisha zinazidi kupanda kila siku lakini wapo kimya tu.
Kama mtanzania mwenyewe hatachukua maamuzi magumu, basi tungojee hali kuwa mbovu zaidi ya hii
 
Inaumiza kinyaama, ukizunguka ndio utaona hawa viongozi miyeyusho, watu wana maisha mabovu, miundombinu mibooovu, huduma za kijamii hakuna na sehemu zinazopatikana ni za kiwango cha chini, huku watu wanapiga deals za biilioni 30, utasikia ubadhirifu bilioni 200, nchi ina madubwasha kibao, ila utasikia wameleta mara kodi ya miamala, kodi yenyewe baada ya miezi kadhaa watu wamefisadi, mafuta yako juu kwa vikodi vya kiduwanzi, mara fuel marking, sijui upuuzi gani, wao wanakula kuku kwa mrija, gari bure, matibabu bure, kula yake, kulala kwake, kila kitu bure, ila mfanyakazi wa laki 7 ndio anabebeshwa mizigo, mtanzania wa chini anabeba mizigo kinooma.

Nchi ya kifala saana hii
Inaumiza sana mkuu
 
Hapana, ufisadi unasababishwa na mambo yafuatayo:

1. Mishahara midogo isiyokidhi mahitaji ya msingi ya watumishi (hapa serikali ina pretend kulipa na wafanyakazi wana pretend kufanya kazi)

Ukiweza kuwahakikishia wafanyakazi sehemu ya kuishi, milo yote mitano kwa siku, usafiri, gharama za shule za watoto wao na saving kidogo kwa ajili ya shangwe ufisadi utapungua;

2. Tamaa na hulka ya binadamu ya ubinafsi ( hii ni kazi ya wazazi kwenye malezi na viongozi wa dini na mila)

Watu wengine wameumbwa na tamaa, hao tajwa hapo juu wakishindwa lazima kuwe na sheria kali na zitumike kuzuia na kipambana na ufisadi

3.kushawishika na watoa rushwa (hii zaidi ni kwenye mikataba mikubwa ambapo wazabuni wanatembeza bahasha na kuwalambisha asali watoa maamuzi. Hali kadhalika, wanasiasa wanatembeza bahasha kwa walalahoi ili wachaguliwe.na mwisho

4. Kutokuwepo kwa nia ya dhati ya serikali kuboresha miundombinu itakayo boresha maisha ya watu yaani siasa mbaya na uongozi usio bora.

Kama unabisha andamana
 
Inaumiza kinyaama, ukizunguka ndio utaona hawa viongozi miyeyusho, watu wana maisha mabovu, miundombinu mibooovu, huduma za kijamii hakuna na sehemu zinazopatikana ni za kiwango cha chini, huku watu wanapiga deals za biilioni 30, utasikia ubadhirifu bilioni 200, nchi ina madubwasha kibao, ila utasikia wameleta mara kodi ya miamala, kodi yenyewe baada ya miezi kadhaa watu wamefisadi, mafuta yako juu kwa vikodi vya kiduwanzi, mara fuel marking, sijui upuuzi gani, wao wanakula kuku kwa mrija, gari bure, matibabu bure, kula yake, kulala kwake, kila kitu bure, ila mfanyakazi wa laki 7 ndio anabebeshwa mizigo, mtanzania wa chini anabeba mizigo kinooma.

Nchi ya kifala saana hii
Kweli inasikitisha sana mkuu.Toa ushauri tufanyeje kuepukana na hii hali ili tuvinusulu vizazi vijavyo
 
Habari Wana JF,

Ufisadi Tanzania sio kitu kigeni nimekaa kwa kipindi kirefu, nimefanya Utafiti usio rasmi nimegundua kuna vitu vinne ambavyo vinafanya uendelee kuwepo kama Ifuatavyo:

1. KATIBA, kwanza haina makali pili viongozi wengi hawawajibiki kwa Wananchi, wanafanya kazi kwa ajili ya mamlaka ya Uteuzi sio wananchi. Hivyo tunahitaji katiba mpya.

2. CCM, chama hiki kina watu wengi ambao wako kwa ajili ya maslahi yao tu kibaya zaidi wana mizizi mikubwa sana suluhisho ni kukitoa kwa namna yoyote ile .tatizo ni nani wa kumpa

3. UMASKINI, wananchi wengi ni maskini sana hivyo moja wako bize kutafuta kula yao kuliko mambo ya Taifa pili wanapoteza ujasiri na uthubutu wa kuweza kuhoji mambo yanayoendelea, kikubwa wanajawa hofu.

4. UDUMAVU WA AKILI, nimefuatilia nimegundua Watanzania wengi walipata shida ya afya ya akili sababu kubwa nikapata ni lishe duni wakiwa watoto ,Ndio maana watu wanapiga pesa watu

Hivyo kuna haja ya kutafuta suluhisho la hivi vitu ili Nchi iwe kuendelea.
Tatizo kubwa ni kupuuzia mambo tu.

Watanzania wanakerwa sana na yanayoendelea
Isipokuwa tu kumekuwa na classes. Kuna watu wana ahueni kidogo ya maisha ambao ndio wengi. Hawa hawaoni umuhimu wa kupambana sababu wanakula na kushiba tu. Hili kundi lina make almost 6O% of the population, 3O% hali ni mbaya mno kula kwa manati, 5% elites na enterprise owners huku 5% high income earners mafisadi na CEOs.
 
Tatizo ni sera mbovu za kiuchumi za miaka mingi zimezalisha masikini wengi wa vipato hivyo wengi hujiingiza kwenye ufisadi na rushwa ili kukidhi mahitaji.

Japo wapo wenye vipato vikubwa ila ni wezi sababu ya tamaa binafsi tu ( ulafi).
 
MALALAMIKO KANTRI

Mi nadhani namba 4 ndo sababu ya kwanza. Katiba sio sababu maana hata zile SHERIA ndogo ndogo hazifuatwi namba mbili iwe CCM.

1.UDUMAVU WA AKILI WA TANZANIA(ZAIDI YA 90%)

2.UNAFKI

3.UNAFKI

4.UNAFKI

5.CCM

6.VYOMBO VYA USALAMA(MAJESHI,NK)

7.KATIBA
 
Habari Wana JF,

Ufisadi Tanzania sio kitu kigeni nimekaa kwa kipindi kirefu, nimefanya Utafiti usio rasmi nimegundua kuna vitu vinne ambavyo vinafanya uendelee kuwepo kama Ifuatavyo:

1. KATIBA, kwanza haina makali pili viongozi wengi hawawajibiki kwa Wananchi, wanafanya kazi kwa ajili ya mamlaka ya Uteuzi sio wananchi. Hivyo tunahitaji katiba mpya.

2. CCM, chama hiki kina watu wengi ambao wako kwa ajili ya maslahi yao tu kibaya zaidi wana mizizi mikubwa sana suluhisho ni kukitoa kwa namna yoyote ile .tatizo ni nani wa kumpa

3. UMASKINI, wananchi wengi ni maskini sana hivyo moja wako bize kutafuta kula yao kuliko mambo ya Taifa pili wanapoteza ujasiri na uthubutu wa kuweza kuhoji mambo yanayoendelea, kikubwa wanajawa hofu.

4. UDUMAVU WA AKILI, nimefuatilia nimegundua Watanzania wengi walipata shida ya afya ya akili sababu kubwa nikapata ni lishe duni wakiwa watoto ,Ndio maana watu wanapiga pesa watu

Hivyo kuna haja ya kutafuta suluhisho la hivi vitu ili Nchi iwe kuendelea.
Sababu ya maana ni namba 3 ya umaskini..

Hata hivyo sababu kubwa kabisa ni kukosekana kwa maadili na uzalendo..

Hata kuwe na Katiba mpya hakuna siku ufisadi utaisha kwa sababu Nchi zenye Katiba mpya kama Kenya,Ghana na South Africa zinaongoza kwa ufisadi nk..

SoMo la maadili na uzalendo vianze kufundishwa kutokea chekechea.
 
Hii ndio sababu kubwa ya ufisadi Tanzania

- Ujinga wetu watanzania.

Wabongo tumelala sana ndio maana hao CCM wanaendelea kututafuna na mifupa yetu. Sababu alizoweka hazina mashiko.

- CCM: kwani anaweza kubadili chama na bado ufisadi ukaendelea kuwepo.

- Katiba: Hii nayo ni karatasi tu, kama pasipokuwepo na jitihada za dhati kutekeleza yale yaliyomo ndani yake bado ufisadi utaendelea kuwepo.

- Udumavu wa akili: Kwa sasa tuna vyuo vingi vinazalisha graduates kwa mamia kila mwaka, hii sababu yake nayo naikataa. Hawa graduates wamejaa mitaani hawana ajira, huku gharama za maisha zinazidi kupanda kila siku lakini wapo kimya tu.
Graduate wanakua wanaona hali ilivyo kutoka kwa wanasiasa hivyo akili zinakua za kipigaji automatikali kabisa yaani
 
Back
Top Bottom