Habari Wana JF,
Ufisadi Tanzania sio kitu kigeni nimekaa kwa kipindi kirefu, nimefanya Utafiti usio rasmi nimegundua kuna vitu vinne ambavyo vinafanya uendelee kuwepo kama Ifuatavyo:
1. KATIBA, kwanza haina makali pili viongozi wengi hawawajibiki kwa Wananchi, wanafanya kazi kwa ajili ya mamlaka ya Uteuzi sio wananchi. Hivyo tunahitaji katiba mpya.
2. CCM, chama hiki kina watu wengi ambao wako kwa ajili ya maslahi yao tu kibaya zaidi wana mizizi mikubwa sana suluhisho ni kukitoa kwa namna yoyote ile .tatizo ni nani wa kumpa
3. UMASKINI, wananchi wengi ni maskini sana hivyo moja wako bize kutafuta kula yao kuliko mambo ya Taifa pili wanapoteza ujasiri na uthubutu wa kuweza kuhoji mambo yanayoendelea, kikubwa wanajawa hofu.
4. UDUMAVU WA AKILI, nimefuatilia nimegundua Watanzania wengi walipata shida ya afya ya akili sababu kubwa nikapata ni lishe duni wakiwa watoto ,Ndio maana watu wanapiga pesa watu wanaangalia na wengine wako bize kwasifia /kuwapongeza na kuwatetea
Hivyo kuna haja ya kutafuta suluhisho la hivi vitu ili Nchi iwe kuendelea.
Ufisadi Tanzania sio kitu kigeni nimekaa kwa kipindi kirefu, nimefanya Utafiti usio rasmi nimegundua kuna vitu vinne ambavyo vinafanya uendelee kuwepo kama Ifuatavyo:
1. KATIBA, kwanza haina makali pili viongozi wengi hawawajibiki kwa Wananchi, wanafanya kazi kwa ajili ya mamlaka ya Uteuzi sio wananchi. Hivyo tunahitaji katiba mpya.
2. CCM, chama hiki kina watu wengi ambao wako kwa ajili ya maslahi yao tu kibaya zaidi wana mizizi mikubwa sana suluhisho ni kukitoa kwa namna yoyote ile .tatizo ni nani wa kumpa
3. UMASKINI, wananchi wengi ni maskini sana hivyo moja wako bize kutafuta kula yao kuliko mambo ya Taifa pili wanapoteza ujasiri na uthubutu wa kuweza kuhoji mambo yanayoendelea, kikubwa wanajawa hofu.
4. UDUMAVU WA AKILI, nimefuatilia nimegundua Watanzania wengi walipata shida ya afya ya akili sababu kubwa nikapata ni lishe duni wakiwa watoto ,Ndio maana watu wanapiga pesa watu wanaangalia na wengine wako bize kwasifia /kuwapongeza na kuwatetea
Hivyo kuna haja ya kutafuta suluhisho la hivi vitu ili Nchi iwe kuendelea.