Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,415
- 21,101
Wakati tukisubiri kwa hamu mpambano wa kukata na shoka kati ya Deontay Wilder na Tyson Furry utakaofanyika February 22 katika ukumbi Wa MGM Grand Arena, tutazame rekodi zilizowekwa na mabondia mbalimbali ambazo ni vigumu sana kuzivunja.
Wapenzi wa boxing tunamsubiri kwa hamu Floyd Mayweather mwaka huu tuone atapanda ulingoni na nani.
Miongoni mwa mabondia ambao wameonesha nia ya kupambana na Floyd ni pamoja na Terence Crawford na Manny Pacquiao japo Floyd alihitaji zaidi pambano na Khabib, Conor Macgregory au Pacquiao.
Wapenzi wa boxing tunamsubiri kwa hamu Floyd Mayweather mwaka huu tuone atapanda ulingoni na nani.
Miongoni mwa mabondia ambao wameonesha nia ya kupambana na Floyd ni pamoja na Terence Crawford na Manny Pacquiao japo Floyd alihitaji zaidi pambano na Khabib, Conor Macgregory au Pacquiao.