Mtandao wamauzo nimkubwa kiackwamba hatawaliopewa kuzuia uingizwaji
ndio mamember coz naniatamfunga paka kengele???
mwacheni atangulie tuuu dunia yenyewe hii tumejaa wangine wanazingua zingua tuuuu??
ahaha by the way pictures hazipo clear sana. Kwahiyo i cant say anything. Anaonekana kama amelala tu, zingeonekana vizuri ningesema something. By the way madawa sio inshu...
Duuh mwenyezi Mungu amjalie arudi katika hali yake ya awali[ingawa najua ni ngumu]
HAYA NDO MADHARA YA BANGI NA MADAWA YA KULEVYA......NI BORA TUJIFUNZE KUTOKANA NA MAKOSA.... RAY C ANATIA HURUMA.LAWAMA ZOTE ZIMEELEKEZWA KWA LORD EYEZ AMAYE NDIYE ALIYEMFUNZA KUTUMIA MADAWA YA KULEVYA SHUKRANI ZA DHATI KWA GLOBAL PUBLISHER: HABARI IMEANDIKWA KWA KIREFUKATIKA GAZETI LA LEO LA IJUMAA
apo kabla madhara ayajaanza kuonekana
kuna mdau ameomba niweke picha alivyokuwa kabla ndio hiyo sasa
Picha sio rahisi kujua Kama yeye.can be anybody
HAYA NDO MADHARA YA BANGI NA MADAWA YA KULEVYA......NI BORA TUJIFUNZE KUTOKANA NA MAKOSA.... RAY C ANATIA HURUMA.LAWAMA ZOTE ZIMEELEKEZWA KWA LORD EYEZ AMAYE NDIYE ALIYEMFUNZA KUTUMIA MADAWA YA KULEVYA SHUKRANI ZA DHATI KWA GLOBAL PUBLISHER: HABARI IMEANDIKWA KWA KIREFUKATIKA GAZETI LA LEO LA IJUMAA
apo kabla madhara ayajaanza kuonekana
kuna mdau ameomba niweke picha alivyokuwa kabla ndio hiyo sasa