Hizi ndizo ndoa zetu wanaJF?

Simcaesor

Senior Member
Jul 15, 2011
111
9
Inasikitisha sana mtu kaoa tena ndoa ya kimungu na kwa heshima kubwa halafu unamkuta kwenye madanguro na mausiku klabu, kikubwa anatafuta malaya na hana ugomvi na mkewe kisa tamaa tu. kuna mana gani ya kuoa halafu unakuwa na tamaa kibao za wanawake wengine, ki ukweli hili linanichefua sana tena sana. wanaJF tuungane kuwashauri wanandoa wenye akili mbovu kama hizi....
 
Inasikitisha sana mtu kaoa tena ndoa ya kimungu na kwa heshima kubwa halafu unamkuta kwenye madanguro na mausiku klabu, kikubwa anatafuta malaya na hana ugomvi na mkewe kisa tamaa tu. kuna mana gani ya kuoa halafu unakuwa na tamaa kibao za wanawake wengine, ki ukweli hili linanichefua sana tena sana. wanaJF tuungane kuwashauri wanandoa wenye akili mbovu kama hizi....

Unaandika kwa kutumia nadharia! Halafu pia nadhani umri wako ni chini ya miaka 25 hivi!

Ndoa siyo hayo maandishi manne - Ina maana kubwa zaidi ya hapo!
 
Wewe ni HE au SHE?, umeoa/olewa?!. Ukiona baba anamucha mwenza kitandani na kwenda kwa wajasiliamali ujue huyu aliyeachwa ndani is a problem too.
Inasikitisha sana mtu kaoa tena ndoa ya kimungu na kwa heshima kubwa halafu unamkuta kwenye madanguro na mausiku klabu, kikubwa anatafuta malaya na hana ugomvi na mkewe kisa tamaa tu. kuna mana gani ya kuoa halafu unakuwa na tamaa kibao za wanawake wengine, ki ukweli hili linanichefua sana tena sana. wanaJF tuungane kuwashauri wanandoa wenye akili mbovu kama hizi....
 
Inasikitisha sana mtu kaoa tena ndoa ya kimungu na kwa heshima kubwa halafu unamkuta kwenye madanguro na mausiku klabu, kikubwa anatafuta malaya na hana ugomvi na mkewe kisa tamaa tu. kuna mana gani ya kuoa halafu unakuwa na tamaa kibao za wanawake wengine, ki ukweli hili linanichefua sana tena sana. wanaJF tuungane kuwashauri wanandoa wenye akili mbovu kama hizi....

kwa hiyo unamaanisha ndoa ni sex? na ukioa ukamkuta mkeo au mmeo hakuna ile kitu ndo mnaachana? au akipata ajali akawa functionless ndio ndoa inavunjika?

au unamaanisha wasiokuwa na ndoa ni sawa kwenda kwenye madanguro na kuchukua malaya? huyo Mungu anayeruhusu haya na kukataza yale ni yupi?

unazungumzia very very complicated subject which certainly you know nothing about it!
 
Kila jambo linalotokea, kuna sababu ya kutokea. Ukiona mwanaume amemwacha mke wake ndani na kwenda kununua penzi ujue kuna sababu ya kufanya hivyo!

Ndoa ni zaidi ya tendo la ndoa.
 
duh...watu wakware humu...

Sio wakware, tumekuwa wepesi kulaumu matatizo yanayoonekana ambayo chanzo chake huwa hakionekani na wengi hawapendelei kusema. Mtu tangu utotoni kazoe kamchezo ka kuwa na wanawake wengi, leo akitaka kuoa atatakiwa kulipa mafungu ya kumi tu, akifunga ndoa huo mchezo wa zamani anaacha kwa mechanism gani?

kuna sababu nyingi sana na kama ni GT inabidi kuangalia mzizi wa tatizo

1.malezi
2. kampani
3. saikolojia
4. financial
5. frustration za ndani ya nyumba na nje
6. Nature

wengine ni nature tu, I would say 99% of african male/men are born to bonkey many many women, that was before christianity and muslim to come ove to our continents

ukiangalia nature za mababu wetu walikuwa wanaona wake sita saba mpaka basi, vile vinasaba vyao vile viko mpaka leo hii na watu utakuta wana vinyumba vidogo tunawalaumu tu

Ili nature ibadilike wa kutatua ni kumpa Yesu maisha yako ili akuumbe upya , nje ya hapo is just wasting time tu kujadili topic ambayo hata mleta maada anajua fika na yeye ina mgusa.

muulize mtoa maada kama ameoa, muulize kama bado ameisha lala na wenzi wangapi, na kama ameoa alishalala nao wangapi hapo kabla! INATISHA!
 
Wewe ni HE au SHE?, umeoa/olewa?!. Ukiona baba anamucha mwenza kitandani na kwenda kwa wajasiliamali ujue huyu aliyeachwa ndani is a problem too.

Kila jambo linalotokea, kuna sababu ya kutokea. Ukiona mwanaume amemwacha mke wake ndani na kwenda kununua penzi ujue kuna sababu ya kufanya hivyo!

Ndoa ni zaidi ya tendo la ndoa.

Acheni ujuha!
 
jamani mimi sioni tatizo la mtoa mada yeye alichowakilisha kuwa tukiwaona hawa watu tuwashauri maana haoni maana halisi ya mtu kuwa na mweza...kutokana na mtu kuendekeza tabia za mwanzoni na kuzileta kwenye family
ok, mim nitakuwa wakwanza kuwashauri ila ki ukweli mambo ya ndoa yanakatisha tamaa sana na wanaume wengi sasa wameshidwa kabia kabisa kuwa Real mens wana tangatanga na mwisho wa siku kuharibu familia ..tubadilike wajameni
 
Kila jambo linalotokea, kuna sababu ya kutokea. Ukiona mwanaume amemwacha mke wake ndani na kwenda kununua penzi ujue kuna sababu ya kufanya hivyo!

Ndoa ni zaidi ya tendo la ndoa.

na sababu kubwa mojawapo ni TAMAA MBAYA
 
Inasikitisha sana mtu kaoa tena ndoa ya kimungu na kwa heshima kubwa halafu unamkuta kwenye madanguro na mausiku klabu, kikubwa anatafuta malaya na hana ugomvi na mkewe kisa tamaa tu. kuna mana gani ya kuoa halafu unakuwa na tamaa kibao za wanawake wengine, ki ukweli hili linanichefua sana tena sana. wanaJF tuungane kuwashauri wanandoa wenye akili mbovu kama hizi....
bWA MDOGO,
Elewa wazi kuwa unaongelea suala-mtambuka, tena ambalo kwa mtazamo tu, hulijui hata kwa 36%!
Shida yako ni kuwa unaangalia upande wa baba tu, na ume'level-ground kuwa mwanamke ni innocent muda wote!
Anyway, sio kosa lako!
Wewe unaamini kabisa kuwa vitabu na tamthilia unazoangalia kwenye Weekend-Movie ndiyo hali halisi ya maisha ndani ya familia!
Let me tell you that you are totally wrong, and when you come to reality everything is inside-out, upside-down!
Usidanganyike na mapenzi unayopewa na "DEMU", ukadhani ndiyo sawa na ndoa,...fikiria ndoa yenye umri wa miaka hata 15 tu!!

I dont blame you young man, sema chochote unachopenda!
 
Umeseam ukweli kabisa Mpwa, ila sijaelewa una ushahidi gani kuwa hao uliowakuta huko kwenye madanguro wana ndoa tena ndoa halali na takatifu, pili na wewe ulienda kutafuta nini huko? ok, ujumbe ulioutoa ni changamoto nzuro kwetu sote.
 
Inasikitisha sana mtu kaoa tena ndoa ya kimungu na kwa heshima kubwa halafu unamkuta kwenye madanguro na mausiku klabu, kikubwa anatafuta malaya na hana ugomvi na mkewe kisa tamaa tu. kuna mana gani ya kuoa halafu unakuwa na tamaa kibao za wanawake wengine, ki ukweli hili linanichefua sana tena sana. wanaJF tuungane kuwashauri wanandoa wenye akili mbovu kama hizi....

Tatizo unasikitishwa na kitu usicho na uelewa nacho_ni kama unaambiwa tu watu wanaokwenda club ni wahuni na wanafuata malaya...acha kulalama kwa kitu usichokijua
 
Unajua mwanamke kabla hajaolewa huwa anajituma katika lile tendo letu lkn akishaolewa tu anakuwa kama gogo
 
Inahuzunisha hii si kidogo yaani.. ila ipo siku watakuja kujuta kwa ujinga wanaofanyaga kwa kuamini kwamba wake zao hawaaoni ila ipo Siku tuuu.
 
hiyo sio sababu ya wewe kwenda kwenye madanguro na sehemu nyingine kutafuta wanawake tofauti na wake zenu....vunja ukimya ongea na mkeo kwa busara....uamuzi wa kutafuta pengine lazima ukugharimu kama sio leo kesho na kama sio duniani basi Mbinguni..fanyeni tu research ndogo ya watu waishio vema na wake/waume zao na maisha pamoja na watoto wao hubarikiwa sana...sasa angalieni ndoa zenye mausaliti na mahujumu ya kila aina nini kinakuwepo hapo zaidi kusikia mume kamnyonga mkewe,mara mume kapinduka na gari alikua na kimada na balaa mengineyo tuu...WANAUME TULIENI NA WAKE ZENU.
 
aaha..ndoa kitu gani bana...upuuzi mtupu peoples are supposed to be free from flooshness called marriage
 
Back
Top Bottom