Hizi ndizo kauli na matamko yaliyotolewa na serikali awamu ya tano mwaka 2016 na kunipasua nyongo

gasto genaro

JF-Expert Member
Oct 15, 2014
780
554
Salaam wakuu,

Kama ilivyo wazi, serikali yetu hii adhimu, imekua ikitoa matamko mengi kupitia viongozi wake mbali mbali.

Kwa hakika, 99% ya matamko hayo ni yakuudhi na kukereketa!.

Tukiwa tunamaliza mwaka, embu tuangalie kauli na matamko yaliyopasua nyongo.

°Natamani malaika ashuke na kuzima mitandao ya kijamii

°Huna wa kukutetea, mimi nikisimama mahala, Mungu amesimama

Ongezea kauli zaidi zilizopasua nyongo au kukuudhi
 
Salaam wakuu,

Kama ilivyo wazi, serikali yetu hii adhimu, imekua ikitoa matamko mengi kupitia viongozi wake mbali mbali.

Kwa hakika, 99% ya matamko hayo ni yakuudhi na kukereketa!.

Tukiwa tunamaliza mwaka, embu tuangalie kauli na matamko yaliyopasua nyongo.

°Natamani malaika ashuke na kuzima mitandao ya kijamii

°Huna wa kukutetea, mimi nikisimama mahala, Mungu amesimama

Ongezea kauli zaidi zilizopasua nyongo au kukuudhi
a cataryst is substance which speeds up a chemicar reaction but does not react itserf!

lol!
 
Back
Top Bottom