mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Missed call ya Sugu umeiona?Washikshwa ukuta nyie hamna jipya zaidi ya kupumuliwa kisogoni.
Missed call ya Sugu umeiona?Washikshwa ukuta nyie hamna jipya zaidi ya kupumuliwa kisogoni.
Hivi meneja wa kampeni za CCM ni nani ?
Mkuu wewe uko sawa,pengine hiyo serikali unayoipigania ikiingia madarakani utapata uteuzi wa kikazi chochote serikalini,Ila Hawa wengine wanaokufata Sasa😃😃.PAMBANIA UGALI MKUU.Hivi meneja wa kampeni za CCM ni nani ?
Naona Sugu alikupaka kohozi badala ya KY.Wewe ni genye zinakusumbua nitakujanikufanyie kitu nilicho mfanyia amber rutty usijione umejificha.
Kuzibomoa? hii hapana! ila kuziacha na kujenga feeder roads ni sahihi. TAL apewe nji hii JPM apumzike!Ndugu yangu hizi flyovers zimetumia fedha nyingi za walipa kodi wa nchi hii lakini zimeshindwa kuleta ahueni ya foleni. Ni bora zipigwe nyundo na kujenga feeder roads. Duniani kote flyovers hazijawhi kutatua tatizo la foleni ndugu yangu. Fanya utafiti utaona ninachokuambia.
sisi ni watu tuliotosheka mno ! usituone humu tunatafuta haki ukadhani tunawinda vyeo , lengo letu ni kupigania haki tuMkuu wewe uko sawa,pengine hiyo serikali unayoipigania ikiingia madarakani utapata uteuzi wa kikazi chochote serikalini,Ila Hawa wengine wanaokufata Sasa😃😃.PAMBANIA UGALI MKUU.
Umetosheka na wakati kila siku unalalamika humu kuwa magu kayafanya maisha yako kuwa magumu kiasi cha kuwaombea baraka wazungu,😃?sisi ni watu tuliotosheka mno ! usituone humu tunatafuta haki ukadhani tunawinda vyeo , lengo letu ni kupigania haki tu
Komredi Polepole!Muulize johnthebaptist
Ipo siku magufuli atawalaumu wasiojulikana kwa kumchafulia serikali yake.Hahahaaaaaaaa
Humprey polepoleHivi meneja wa kampeni za CCM ni nani ?
Hivi zile fedha za umma trillion 1.5 zilizopotelea Ikulu zimerudishwa?Ndio uhuru huo wa kuamua, una siku chache sana hadi tarehe 28 whether you like it or not JPM ndiye rais na hao makuwadi wenu ambao mliwaandaa janja yao tunaifahamu hamchomoki. You are too late.
Unataka data zipi? Umeme tu kila kona ya Dar ilikuwa na magenerator madukani kelele mtindo moja mgawo wa umeme kila kona. Je, siku hizi vipi? Makusanyo ya Bandari sasa hivi yako kwenye Billion 5 na ushee kila siku achilia mbali Serikali ambayo ipo makini kwenye kila Jambo. JPM amewaacha wazungu wanatetemeka kwa sababu wanafahanu kinachofuatia. Afrika nzima itajikomboa kutokana na udhalimu wao. JPM hana mpinzani.
Komredi Polepole!
Tutaboresha ili vitumike kukopa bank, hahaaha!Vile vitambulisho feki je mbona hukutaja?