Naona mawazo yako kama picha yako , back to your point, hivi hujaona feeder roads zilizojengwa? This things za feeder roads na fly over they go hand in hand , sema zime chelewa na bado chacheNdugu yangu hizi flyovers zimetumia fedha nyingi za walipa kodi wa nchi hii lakini zimeshindwa kuleta ahueni ya foleni. Ni bora zipigwe nyundo na kujenga feeder roads. Duniani kote flyovers hazijawhi kutatua tatizo la foleni ndugu yangu. Fanya utafiti utaona ninachokuambia.