Hizi ndizo faida za gesi asilia kwa mikoa ya Lindi, Mtwara

Daniel Mbega

JF-Expert Member
Mar 20, 2013
338
180
gesi tanzania.jpg

Kabla hata gesi hiyo haijawanufaisha Watanzania wote, mkoa wa Lindi ulikuwa wa kwanza kunufaika na uzalishaji wa gesi asilia kupitia Mradi wa Gesi Asilia wa Songo Songo.

Soma zaidi hapa=> http://www.fikrapevu.com/hizi-ndizo-faida-za-gesi-asilia-kwa-mikoa-ya-lindi-mtwara/
 
Nikitafakari jinsi tulivyonufaika na tanzanite kule arusha, dhahabu na makaa ya mawe. Napata tumaini jipya kabisa juu ya ugunduzi wa gesi asilia kwenye nchi hii.

Kama nawaona brexit wakija kukopa kwetu. Hatutawachagulia tusi kulipiza walivyotupigisha magoti.
 
Back
Top Bottom