hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Me tooHuyo mwamba namuelewa sana
Me tooHuyo mwamba namuelewa sana
Naam kabisaAcheni kumtishia jamaa, kaongea fact, pinga kwa fact
sasa what if nayeye angekuwa na timu inayo mtetea !? Mungu angetafuta chimbo la kujigicha bila shakaKwanza shetani ni an illusion tu, ila uwepo wa dhana hiyo ni fursa na faida kubwa.
Shetani hana watetezi, wala hajawahi kujigamba wala kujitetea sehemu... lakini Mungu katumia timu na nguvu nyingi mno kumchafua/kumshusha shetani na bado anadunda!
NakaziaWafia dini bwana! Badala ya kujibu kwa hoja mnaanza kutisha watu...
Binafsi siamini kama kuna kiumbe wa kuitwa shetani. Shetani ni imaginary character aliyetengenezwa na binadamu ili yeye (binadamu) apate uwezo wa kukwepa kuwajibika kwa makosa yake mwenyewe.
Mungu yupo
Shetani hayupo
Dhambi haipo
SureJehanam ni hapa hapa duniani. Baba anayekupenda hawezi kukuchoma moto kisa umeiba.
sasa what if nayeye angekuwa na timu inayo mtetea !? Mungu angetafuta chimbo la kujificha bila shaka
Mi NAJIULIZA KWANN SHETANI Naye Ana mama mkwe?
Kwa kujibu hoja yako hapo juu, kwanza shetani alikuwa level za malaika hivyo hakuwahi kujilinganisha ubora wake na mwanadamu.
Pia, hicho unachokisema kuwa alikubaliwa ombi lake aishi maisha marefu... ni uthibitisho mwingine kuwa shetani (kama yupo) ni beyond our discussion.
Yaani Mungu amsikilize na kumbariki halafu sisi tunaojiita watu wa Mungu tukeshe tukimpiga vita!!
Ibilisi amekuwa sababu ya kutajirisha wengi wanaompenda na wasio mpendaShetani au ibilisi kama kweli yupo duniani na sio dhana tu ya wajanja wa dunia ili wapige hela basi atakuwa amebeba faida kuntu kuliko hasara zake.
Moja ya faida kuntu za kuwepo shetani duniani ni kama ifuatavyo:-
(i) KUSHUSHWA NA KUANDIKWA VITABU VITAKATIFU
Mungu aliamua kushusha Quran na kuandikwa kwa biblia na vingine vingi ili Mungu ajipambanue kwenye hivyo vitabu na aoneshe kuwa yeye ndiye anafaa zaidi. Na ndani ya vitabu hivyo ibilisi ameoneshwa kuwa ni kiumbe mbaya sana na watu wamekatazwa wasimfuate. Bila ya uwepo wa ibilisi kulikuwa hakuna haya ya kuwepo kwa vitabu hivi vilivyosheheni majigambo ya Mungu.
(ii) KUSINGEKUWEPO NA MITUME WALA MANABII
Ibilisi/shetani ndiye aliyesababisha manabii na mitume waletwe duniani ili kuja kupambana na ibilisi. Bila ya kuwepo kwa Ibilisi kulikuwa hakuna haja yoyote ya kuletwa kwa mitume na manabii dunia. Wangekuja kufanya nini?
(iii) KUANZISHWA KWA DINI MBALIMBALI
Ibilisi ndiye aliyesababisha dini nyingi zianzishwe duniani kwa lengo la kupambana na majaribu ya ibilisi. Kama ibilisi asingekuwepo kulikuwa hakuna haja ya kuwepo kwa ukristo wala uislam na dini zingine.
(iv) BINADAMU ANGEKOSA WA KUMSINGIZIA MAKOSA YAKE
Binadamu anakosea makusudi na baadaye anamsingizia shetani kwamba eti shetani alinipitia. Hivi shetani asingekuwepo binadamu angemsingizia nani makosa yake?
(v) UWEPO WA MATAJIRI WAKUBWA DUNIANI
Kuna watu wanaitwa devil worshippers na wale wazee wa ndagu. Watu hawa wanaaminika kutusua kimaisha baada ya kumtumikia shetani na kufuata matakwa yake. Inaaminika kupitia shetani watu wengi sana wametusua kimaisha.
(vi) KUWEPO KWA TAASISI MBALIMBALI ZA KIDINI NA NYUMBA NYINGI ZA IBADA
Ibilisi ndiye aliyesababisha watu wajenge makanisa, misikiti na shule za dini,vyuo vya dini na madrassa ili wapambane kumpinga Ibilisi. Kama ibilisi asingekuwepo maana yake pia haya yote yalikuwa hayana maana yoyote kuwepo.
(vii) KUUMBWA KWA PEPO NA JEHANAMU
Ebu fikiria kama ibilisi asingekuwepo Mungu angeanzia wapi kuumba pepo na jehanamu? Ibilisi ndiye kamsukuma Mungu atengeneze vitu hivyo ili kama ukimfuata shetani mwisho wa siku uchomwe moto.
MWISHO
Ibilisi ni dude lililomshinda Mungu na akaamua kuwasukumia binadamu.
Hizi fact za kipuzi sio za msingi binadamu tuna akili ndogo sana hasa tukiwa katika miili tunashindwa kujua ya rohoni yaani hizi dhambi utakuja uzijutie sana MUNGU haturehemuAcheni kumtishia jamaa, kaongea fact, pinga kwa fact
Lucifer ni kiumbe kilichoumbwa ili kuthibitisha ubaya wa "power of negativity" pale inapokinzana na "power of positivity'. Nguvu hizi mbili huthibitika tu pale panapotokea utashi wa kuamua juu yake.MWISHO
Ibilisi ni dude lililomshinda Mungu na akaamua kuwasukumia binadamu.
Maji tu yakikupalia au ukishikwa na kichomi cha moyo haya maneno yote utayakana.. na within a minute utajikuta umetubu dhambi zako zote haijalishi unamuamini au wamuamini...Tulifika Near death experience we know a bit about how death it's like. Chung sana, It's supper scary..Pumzi zako hizi unazovuta kwa uhuru zisikufanye ujione mwamba. It's matter of button, ikibonyezwa tukubadilisha jina kabisa. Be humble dogo..Be Kind
Giza does not exist, it is absence of mwanga. Same as death, it does not exist but it is absence of lifeNajiulizaga Mkuu kwan Giza lilitoka wap?sipatag jib la moja kwa moja
Giza does not exist, it is absence of mwanga. Same as death, it does not exist but it is absence of lifeNajiulizaga Mkuu kwan Giza lilitoka wap?sipatag jib la moja kwa moja