Hizi ndizo faida itakazopata Geita endapo Chato itajitoa na kuwa Mkoa mpya

Kasomi

JF-Expert Member
Sep 3, 2014
11,036
20,337
Licha ya Chato kuwa Mkoa ni nafasi ya upendeleo ebu tuangalie faida tutakazo zipata sisi wana Geita.

1: Tunahitaji kiwanja kipya cha Ndege kujengwa mkoani Geita kwa kuwa Geita tutakuwa hatuna kiwanja cha Ndege.

2: Kama tunavyojua Timu yetu ya Geita Gold FC rasmi imeingia ligi kuu. Hivyo tutakua na nafasi ya kujenga kiwanja chetu ndani ya mkoa wetu, kuliko kuiacha chato kua ndani ya mkoa wa geita ambayo tayari imebeba uwanja wa mpira wa mkoa.

3: Tutahitaji chuo kipya cha ufundi VETA kijengwe ndani ya Mkoa wa Geita tofauti na ilivyo Sasa vijana watatakiwa kwenda kujifunza Chato.

4: Tutahitaji Geita kujengwe bohari mpya ya madawa, ni tofauti na ilivyo Sasa Bohari ya mkoa ipo Chato.

5: Itakuwa ni rahisi Mkoa wa Geita kuwa na maendeleo kwakua itakua ni miongoni mwa Mikoa midogo hivyo kwa mapatao yatakayo patikana. Ni rahis kuratibu maendeleo na kucover karibu kila eneo la mkoa wa Geita, tofauti na geita kuachiwa eneo kubwa kipato kisingejitoshereza kwa kiwango kikubwa kufikisha maendeleo kila eneo Kama Chato itaachwa mkoa wa Geita.

Ushauri wangu:
Wakazi wa Mkoa wa Geita tusione kama tutapoteza chochote, tukiwa na viongozi wenye maono na Geita kwanza wao itawapunguzia ugumu wa kufikisha maendeleo kila sehem Mkoa na itakua rahisi kufanya yale mambo muhimu ambayo yalifanywa wilayani Chato.
 
Mbeya pia haina kiwanja cha ndege. Kwahiyo usifikiri kila mkoa lazima uwe na uwanja
Mbeya tatizo waliacha kuutumia ule wa zamani pale maeneo ya TIA Airport ya zamani.
 
Ila kimsingi Mwendazake alikuwa mpumbavu sana. Yaani kila kitu anapeleka Chato badala ya Geita mjini.
Marehemu hasemwi stamina aliongea kwenye wimbo wao wa Hujambo mwanangu wa Rostam ft Ferooz
 
Mijadala mingine ni matumizi mabaya ya muda, Geita haina hata miaka 10 tangu igawanywe, kisa JPM tu ndiyo watu mnahaha eti Chato............huu ujinga ukiendelea kila atayekuja atataka kwao kuendelezwe na hapo ndiyo nchi yetu itaanza kupotea. Soon Buhingwe nako watataka mkoa kisa VP
 
Mijadala mingine ni matumizi mabaya ya muda, Geita haina hata miaka 10 tangu igawanywe, kisa JPM tu ndiyo watu mnahaha eti Chato............huu ujinga ukiendelea kila atayekuja atataka kwao kuendelezwe na hapo ndiyo nchi yetu itaanza kupotea. Soon Buhingwe nako watataka mkoa kisa VP
Yaani serikali hii bhana Dah!!
Wanamatumizi mabaya ya fikra
 
Unazungumzia mapato gani?kwa utaratibu wa sasa ambao karibu pesa zote zinakwenda hazina?yaani hizo km 100, za kutoka geita kwenda chato nako ni mbali sana, hadi hayo yote yaonekane kuna umbali?!!ki fupi ni mambo ya siasa tu lakini ki uchumi huo mkoa hauna tija yoyote.hata ukiwa mkoa hilo li uwanja la ndege ndio litakuwa na tija?
 
Licha ya Chato kuwa Mkoa ni nafasi ya upendeleo ebu tuangalie faida tutakazo zipata sisi wana geita.

1: Tunahitaji kiwanja kipya cha Ndege kujengwa mkoani geita kwakua Geita tutakua hatuna kiwanja cha Ndege.

2: Kama tunavyo jua Timu yetu ya Geita Gold FC rasmi imeingia ligi kuu. Hivyo tutakua na nafasi ya kujenga kiwanja chetu ndani ya mkoa wetu, kuliko kuiacha chato kua ndani ya mkoa wa geita ambayo tayari imebeba uwanja wa mpira wa mkoa.

3: Tutahitaji chuo kipya cha ufundi VETA kijengwe ndani ya Mkoa wa Geita tofauti na ilivyo Sasa vijana watatakiwa kwenda kujifunza Chato.

4: Tutahitaji Geita kujengwe bohari mpya ya madawa, ni tofauti na ilivyo Sasa Bohari ya mkoa ipo Chato.

5: Itakua ni rahisi Mkoa wa Geita kuwa na maendeleo kwakua itakua ni miongoni mwa Mikoa midogo hivyo kwa mapatao yatakayo patikana. Ni rahis kuratibu maendeleo na kucover karibu kila eneo la mkoa wa Geita, tofauti na geita kuachiwa eneo kubwa kipato kisingejitoshereza kwa kiwango kikubwa kufikisha maendeleo kila eneo Kama Chato itaachwa mkoa wa Geita.

Ushauri wangu:
Wakazi wa Mkoa wa Geita tusione kama tutapoteza chochote, tukiwa na viongozi wenye maono na Geita kwanza wao itawapunguzia ugumu wa kufikisha maendeleo kila sehem Mkoa na itakua rahisi kufanya yale mambo muhimu ambayo yalifanywa wilayani Chato.
Kweli kabisa una Tisha hayo ndiyo mawazo Chanya kwa Kika Jambo linalo ku fase
 
Nimerudi kwenye ramani uwanja upo mbeya mkuu
Ulikua sahihi mkuu uwanja wa ndege wa songwe upo songwe nasi mbeya, sema eneo ulipo ni jirani sana na Mbeya.
Mbeya haina uwanja wa ndege
 
Ulikua sahihi mkuu uwanja wa ndege wa songwe upo songwe nasi mbeya, sema eneo ulipo ni jirani sana na Mbeya.
Mbeya haina uwanja wa ndege
Uwanja upo songwe sio mkoa wa songwe, lile eneo linaloitwa songwe ulipo uwanja lipo songwe na sio mkoa wa songwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom