Hizi ndiyo Amri 10 za Tanzania

Lunyungu

JF-Expert Member
Aug 7, 2006
8,873
1,894
Usiwe mwongo kama KARAMAGI

Mwizi kama BALALI

Mbishi kama ZITTO

Makelele mengi yasiyo na maana kama MAKAMBA

Mbabe kama SITTA

Usihukumu kama MUDHIHIRI

Usiue kama DITOPILE

Usidandie hoja kama MREMA

Jali masilahi ya nchi kama Dr SLAA na wapinzani

Usichecheke ovyo na kutoa ahadi hewa kama KIKWETE
 
Zitto kuwa mbishi mimi sioni kama wamemtusi .Ni kweli ni mbishi ambaye anataka kuoa usawa unatendeka . Zitto huwezi kumhamisha kirahisi kwenye issue ya manufaa kwa Taifa eti kwa kumkemea .Ndiyo wanamshindwa wanaamua kutumia kanuni ambazo hazipo . Zitto endelea kubisha kwa point na hilo sote twalijua hubishi kwa kuwa una nguvu na mdomo unabisha kwa logic.
 
Lunyungu:
Amri ya Malicela mbona haionekani hapo, au ni dead wood?
 
Usiwe mwongo kama KARAMAGI

Mwizi kama BALALI

Mbishi kama ZITTO

Makelele mengi yasiyo na maana kama MAKAMBA

Mbabe kama SITTA

Usihukumu kama MUDHIHIRI

Usiue kama DITOPILE

Usidandie hoja kama MREMA

Jali masilahi ya nchi kama Dr SLAA na wapinzani

Usichecheke ovyo na kutoa ahadi hewa kama KIKWETE

Usiwe fisadi kama MKAPA

Usijione wewe ni wa maana sana kama SITTA

Utetee nchi yako kwa uwezo na nguvu zako zote kama SLAA na ZITTO

Usiwe msanii wa kutoa ahadi hewa na kutoa vitisho visivyokuwa na vitendo na kukenuakenua hovyo hovyo kama KIKWETE

Usibwabwaje hewa kama MAKAMBA

Useme ukweli ili kutetea maslahi ya nchi yako bila woga kama BUTIKU

Usiwe muongo na kutoyajali maslahi ya nchi yako kama KARAMAGI

Usiwe mbaibashaji na kutaka kuficha madhambi yako kama LOWASSA

Usiwe tapeli na muongo wa kutetea kitu usichokijua kama MZINDAKAYA na MKONO (Walitetea BoT kumbe wamechukua mabilioni ya pesa toka BoT)

Uwe muadilifu na kuwapenda Watanzania wenzio na siku zote kuweka maslahi ya Tanzania mbele kama NYERERE
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom