Hizi ndio tofauti kati ya malezi ya baba na mama

chinchilla coat

JF-Expert Member
May 16, 2016
5,107
10,959
13466104_1177986842252848_1597388238890824442_n.jpg
13450021_1177987122252820_9222198601511793095_n.jpg
13501913_1177987262252806_4870986731207439820_n.jpg
13407305_1177986952252837_6336114157919257103_n.jpg
13450989_1177986962252836_2663735302203459137_n.jpg
13227131_1177986985586167_5755954687035022509_n.jpg
13310452_1177987068919492_6922349247486247825_n.jpg
13512224_1177987118919487_63054821998307134_n.jpg
13450743_1177986822252850_8985676071208049571_n.jpg
 
Mtoto akilelewa na mama shida kwa mtoto.Ila sina nia mbaya na wamama.
 
maisha ya kukaa na baba yana impact zake baadae sana na huwezi kuyaona wakati huo ndoo maana watu wengi huyachukia lakini malezi ya mama unalelewa mayai sana utayafurahia wakati huo lakini hayana mchango mkubwa kivile kwa maisha yako ya baadae wew unaiba hela unatandikwa na babako ukienda kulala unakuta umefichiwa chakula na mama sindo kubomoa huko malezi mabaya hua yanaanza ya bb na babu ndo yanafuatia ya mama kwa ubaya nakumbka zaman nikiwa mdogo kuna kipindi tulikwama sehemu tupo na family nzima tukiwa tumebeba chakula cha kutufikisha angalau kunakokwenda nilikuwa napenda sana kutembea na mzee japo kunigeuka na kichapo juu ilikuwa ni kugusa tumeenda mpaka centa ya jirani tumerudi tumechoka tulipofika wenzetu wamekula chakula chote tukaambiwa tulijua mtakula huko huko nilitaman nilie nigalegale kwa ubao ghafla mushua akaniita maana alianza kuiona nmechange nilipewa sifa za kijinga kweli maneno mengi but nakumbka machache ''mwanangu sisi wametumalizia wakijua wanaume ko ukitaka uwe mwanaume lazima uvumilie kweli kweli'' hii statemant ipo kichwani mpka leo sio kwa chakula hata mambo huwa nikumbka ndo morali yangu aisee kitu kingine wazaz wa kiume hupenda sana watoto wao kuadopt behavior zao wew ukienda kwa babaako umepigana af ukapigwa utaenda home utatwagwa kichapo kingine lakin ukienda umepigana ukapiga mwenzio utapigwa kuua so la wazaz wakitoka tu utaski mwanangu wew hatari umelitandika lile bonge nyanya kaoge sasa mtanipinga but asilimia kubwa walolelewa na single maza hukua wakinyweshwa sumu pole pole mara baako alinitelekeza ohh sijui nn uongo mwingi lakin mwisho wa siku kumbe mkosefu ni yeye lakin kwa waliokuzwa na baba hakuna kitu kaa hcho tena hutosikia anaweza sikia kwa shangaz zake na ndug lakin c kwa mshua over
 
Mwanangu anapigwagwa na babake mpka huruma naishia kumkanda tu na kumchemshia mayai.
Na hivi si mwanangu wa kumzaa ukimtetea au ukiongea tu utasikia baadae rum ndo unataka kupendwa na mtoto wa kambo??haaaa
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom