Mpandisha mishahara
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 1,699
- 1,454
How?Wajeda Wana kaunafuu ndio maana watu wanakimbilia huko sana tofauti na nafasi nyingine za kiraia Kuna allowance
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How?Wajeda Wana kaunafuu ndio maana watu wanakimbilia huko sana tofauti na nafasi nyingine za kiraia Kuna allowance
Wajeda wako vizuri somehowHow?
Unawalinganisha na kina nani kupata huo unafuu walionao?Wajeda wako vizuri somehow
Twenzetu Takukuru tukakimbizane na wala rushwa.Wajeda Wana kaunafuu ndio maana watu wanakimbilia huko sana tofauti na nafasi nyingine za kiraia Kuna allowance
Umeona ngoja nimetuma mtu aulizie huko atanipa jibu baadaeTwenzetu Takukuru tukakimbizane na wala rushwa.
Allowance, house vinywaji,bado ka laki tisa hivi out of mshahara ka una bachelor out of mshaharaUnawalinganisha na kina nani kupata huo unafuu walionao?
Huyo nshakwambia achana nae mkuuSio kwamba wewe ndio unajidanganya aisee? Unabisha kitu ambacho watu tu hawawezi kuji - expose humu, nikupe mfano, unajua graduate wa degree mfano akiingia tu TRA anakula ngapi au unaweka ubishi tu? ila ngoja nikuache tu umekaa kubishana bishana sana.
Uyo jamaa hapo juu kuna mawili, moja hana kazi ndo maana yupo na presha za mishahara, mbili shule tatizo kwake.Mashamba uyu kuna watu
fuel allowance tu 1m
mawasiliano 3lk
House 5lk
Basic 1.8
Huyo ni waserikali na ana miaka 4 kazin tunao maofisin
Sawa, nakubali carihaUmeona ngoja nimetuma mtu aulizie huko atanipa jibu baadae
Yaani kama ulisoma hiyo shule sijui ilikusaidia nini.Sawa mkuu kina Cha chini ni milion tatu according to you sio?
Weka figureNin
Nina ndugu zangu na marafiki wanafanya kazi huko
Huyo jamaa ni mbishi, na hakuna lolote analojua kuhusu hizi ishu.Unawalinganisha na kina nani kupata huo unafuu walionao?
MgamboUnawalinganisha na kina nani kupata huo unafuu walionao?
Hili jukwaa huru mkuu sijavunja sheria why ukereke na maoni ya wengine jichunguze utakuwa na tatizo si bure.Yaani kama ulisoma hiyo shule sijui ilikusaidia nini.
Umeanza kukera aiseee, tunatoka kwenye kujadiliana tunaingia ktk mabishano kama watoto wa chuo.
Ila nchi zetu umasikini bado Sana , Yani laki 9 Ni sawa na Kama dola 450 hivi mtu ndio analipwa kwa mwezi.Allowance, house vinywaji,bado ka laki tisa hivi out of mshahara ka una bachelor out of mshahara
Hao wajeda hyo ni out of mshahara the rest huko majanga.Ila nchi zetu umasikini bado Sana , Yani laki 9 Ni sawa na Kama dola 450 hivi mtu ndio analipwa kwa mwezi.
Aiseeh tujikwamueni bado tupo kwenye umasikini
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app