Kwahiyo kila mwenye degree aende TRA?Huo ni mshahara wa afisa wa TRA anayeanza kazi. Kumbuka afisa ni mwenye Digrii. Kwa mateso hayo ni bora uwe TRA
Kwahiyo kila mwenye degree aende TRA?Huo ni mshahara wa afisa wa TRA anayeanza kazi. Kumbuka afisa ni mwenye Digrii. Kwa mateso hayo ni bora uwe TRA
Mimi niliamua kumuacha, mbishi na hajui tu huyu mdada.Haka kadada kaongo jamani na kamekomaa na uongo.
Eti 2.6mil ndo mshahara wa Mhadhiri, yaani kuna watu wabishi jamani.
Kamesahau kuna Tutorial Assistant na Assistant Lecturer.
Nakuambia 2.6mil ni mshahara wa msaidizi sio Mhadhiri.
Kawaida maana hawa si ni wanasiasa hawana professional yoyote ndio maana huoni wakistaafu.3.6M kwa DC. Nje ya marupurupu na upigaji.
3M kwa DED.
Sio kwamba wewe ndio unajidanganya aisee? Unabisha kitu ambacho watu tu hawawezi kuji - expose humu, nikupe mfano, unajua graduate wa degree mfano akiingia tu TRA anakula ngapi au unaweka ubishi tu? ila ngoja nikuache tu umekaa kubishana bishana sana.Vijana mkiwa chuoni huwa mnadaganyana sana
Halafu kuna huyo sista anakwambia mshahara wa DED huu sijui hawezi mzidi unamwangalia tuHuo ni mshahara wa afisa wa TRA anayeanza kazi. Kumbuka afisa ni mwenye Digrii. Kwa mateso hayo ni bora uwe TRA
si wote kuna ma-engineer wanakula kuanzia 2M mpka 4MMtoa mada nikupe tu TAARIFA WATUMISHI wengi NI WATUMISHI wa kawaida wasokua na vyeo
Na mshahara wa MWISHO wa mtumishi wa serikali NI sh 2,727,500/- unless km ana cheo km mkuu wa KITENGO au idara au mkuu wa taasisi msikaririshane Mambo ambayo hayapo na nkupe tu TAARIFA huyo ambaye yupo TRA mwenye degree anaeanza Kazi Hana tofauti na mwenye degree ya maendeleo ya JAMII wa Moshi vijijini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata huko tra sio hivo Kuna watumishi wako kazini more than 15 years na hawafiki milion tatu mkuu tena na elimu juu. Msiwe wabishi banaSio kwamba wewe ndio unajidanganya aisee? Unabisha kitu ambacho watu tu hawawezi kuji - expose humu, nikupe mfano, unajua graduate wa degree mfano akiingia tu TRA anakula ngapi au unaweka ubishi tu? ila ngoja nikuache tu umekaa kubishana bishana sana.
unataka usikie milion kumi kitu ambacho sicho tutorial tu assistant hela yangu ndogo tu, acheni makasiriko kwangu ukitaka utajiri ujiajiri mkuu. Hyo tutorial nakwambia ya kawaida nyie ndio mkienda kazini hamfanyi kazi mnaanza wiziHaka kadada kaongo jamani na kamekomaa na uongo.
Eti 2.6mil ndo mshahara wa Mhadhiri, yaani kuna watu wabishi jamani.
Kamesahau kuna Tutorial Assistant na Assistant Lecturer.
Nakuambia 2.6mil ni mshahara wa msaidizi sio Mhadhiri.
Salary zake za kawaida sana tu huko, kikubwa uzalendo ukileta tamaa unawekwa ndaniDuh! Kuipata hiyo kazi sasa ndio balaa
Bora tukafanye huko huko kazi kiraia kuliko kuvaa mikombati ya jeshi alafu mfukoni huna kituSalary zake za kawaida sana tu huko, kikubwa uzalendo ukileta tamaa unawekwa ndani
Watu wanavuta pesa kwache na ubishi wakesi wote kuna ma-engineer wanakula kuanzia 2M mpka 4M
mfano
Electrical engineer ,namjua jamaa mmoja wa kwenye umeme anakula 3.5 na hana idara yyte ya kusimamia
Mbona mimi sijawahi kuombaMbona na hao walioko private wakisikia ajira za taasisi za Serikali wanakimbilia faster ijapokuwa huko private wanalipwa vizuri
UONGO HAYUPO, WENYE MIAKA 8 sasa wanakula kuanzia 3M kwenda juu afu useme miaka 15??Hata huko tra sio hivo Kuna watumishi wako kazini more than 15 years na hawafiki milion tatu mkuu tena na elimu juu. Msiwe wabishi bana
Hizo kamba mkuu hyo hela ni mshahara wa Dr tena mhadhiri wa chuo kikuu
Mimi sikupenda ile kauli ya kusema hizo ni kamba, kwanini nidanganye ktk platfom kama hii?
Ukisema salary zipo chini nakubali ila usipinge baadha ya sehemu mishahara yao.
Mwisho kabisa, kafatilie hata mishahara ofisi ya mkemia mkuu, Gvt kuna sehemu na sehemu.
Wapo wengi tu Sasa tena aliomba connection akahamishwa hyo sehemu na anakatibia kustaafu, nikiona watu wanadaganyana kuhusu salary humu nasema hiiiiiiUONGO HAYUPO, WENYE MIAKA 8 sasa wanakula kuanzia 3M kwenda juu afu useme miaka 15??
Sawa mkuu kina Cha chini ni milion tatu according to you sio?Bro huo mbona wa kawaida tu mama juzi kaongeza watu wanachukua karibu 3 point wana degree tu na miaka isio Zidi mitano kazin mkuu
Wajeda Wana kaunafuu ndio maana watu wanakimbilia huko sana tofauti na nafasi nyingine za kiraia Kuna allowanceBora tukafanye huko huko kazi kiraia kuliko kuvaa mikombati ya jeshi alafu mfukoni huna kitu