Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,381
- 24,979
Hii nakataaa, yaani uwe na pesa halafu nikikuangalia tu naona wewe ni kivuruge!!! Siwezi kukubali
dada,sisi ndio wanaume tunafahamu,ukiwa na pesa hakuna Mwanamke utakayemtaka akukatae .