Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,985
Hizi ndio baadhi ya sababu alizotaja Bwana mkubwa za kutofunga mipaka/kuwa na lockdown
1.Ambulance zitashindwa kusafirisha wagonjwa
2.Ujenzi wa SGD utakwama
3.Ujenzi wa Stieglers Gorge utakwama
4.Mizigo haitasafirishwa kupitia bandari ya Dar-es-salaam na hivyo tutakosa mapato
5.Nchi zinazotuzunguka na zinazotegemea bandari yetu kusafirisha mizigo zitaathirika na kwamba tungewaua kama tungefunga mipaka.
6.Vifaa vya kutengeneza mabarabara visingesafirishwa
Hayo ni baadhi niliyoyakumbuka baada ya kumsikia akiongea kupitia TBC1 katika kipindi cha "JAMBO" asubuhi hii na kasisitiza watu wachape kazi na kwamba corona isitumike kama kisingizio ila akasisitiza tuchukue tahadhari.
Sasa sijui ni kwanini ile Press release haijataja baadhi ya haya aliyoyatamka.
1.Ambulance zitashindwa kusafirisha wagonjwa
2.Ujenzi wa SGD utakwama
3.Ujenzi wa Stieglers Gorge utakwama
4.Mizigo haitasafirishwa kupitia bandari ya Dar-es-salaam na hivyo tutakosa mapato
5.Nchi zinazotuzunguka na zinazotegemea bandari yetu kusafirisha mizigo zitaathirika na kwamba tungewaua kama tungefunga mipaka.
6.Vifaa vya kutengeneza mabarabara visingesafirishwa
Hayo ni baadhi niliyoyakumbuka baada ya kumsikia akiongea kupitia TBC1 katika kipindi cha "JAMBO" asubuhi hii na kasisitiza watu wachape kazi na kwamba corona isitumike kama kisingizio ila akasisitiza tuchukue tahadhari.
Sasa sijui ni kwanini ile Press release haijataja baadhi ya haya aliyoyatamka.