J C
JF-Expert Member
- Dec 12, 2013
- 2,927
- 2,356
Wahutu aka wanyarwanda. Ndio maana jamaa yake ka lockdown nchi yake ili baada ya janga hili waingie nchi ya ahadi baada ya wayebusi(wadanganyika) wote kuteketea na corona. Uoni jamaa kaenda kujificha karibu na kitovu cha nchi ya wahutu aka wanyarwanda?.Nchi zinazojali raia wake zimetoa kipaumbele kwa uhai wa raia kuliko mapato ya nchi. Raia ndiyo uchumi wenyewe. Ukipoteza raia STandard gauge unamjengea nani?
Sent using Jamii Forums mobile app