Rockefeller
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,195
- 2,147
Habari za wakati wanajamvi,
Leo nimekuja kwenu na orodha ya nchi 10 Afrika ambazo hazijawahi kuwa na mapinduzi ya serikali ya aina yoyote. Nchi nyingi za kiafrika baada ya uhuru ziliangukia katika wimbi kubwa la mapinduzi ya serikali zilizoachwa na wakoloni, kwa kipindi hicho sababu kuu za mapinduzi hayo ilikua ni uchu na tamaa za madaraka walizokua nazo viongozi wa mapinduzi au wadau wa mapinduzi, tuliona viongozi wengi waliofanya mapinduzi na mwishowe kuharibu utaratibu na kuhujumu uchumi na mali za nchi mfano Idd Amin na Mobutu, nchi karibu zote za Africa zilikumbwa na hili tatizo isipokua zifuatazo:-
BONUS: Kenya ndio nchi pekee Afrika yenye jina linaloanza na K.
NAWASILISHA.
Leo nimekuja kwenu na orodha ya nchi 10 Afrika ambazo hazijawahi kuwa na mapinduzi ya serikali ya aina yoyote. Nchi nyingi za kiafrika baada ya uhuru ziliangukia katika wimbi kubwa la mapinduzi ya serikali zilizoachwa na wakoloni, kwa kipindi hicho sababu kuu za mapinduzi hayo ilikua ni uchu na tamaa za madaraka walizokua nazo viongozi wa mapinduzi au wadau wa mapinduzi, tuliona viongozi wengi waliofanya mapinduzi na mwishowe kuharibu utaratibu na kuhujumu uchumi na mali za nchi mfano Idd Amin na Mobutu, nchi karibu zote za Africa zilikumbwa na hili tatizo isipokua zifuatazo:-
- Botswana
- Cape Verde
- Eritrea
- Mauritius
- Mozambique
- Namibia
- Sao Tome and Principe
- Senegal
- South Africa
- Tanzania
BONUS: Kenya ndio nchi pekee Afrika yenye jina linaloanza na K.
NAWASILISHA.