chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,713
Wanakwambia South Africa ilikuwa ya miaka ile 2005 kushuka chini.
Tanzania ni moja ya nchi kwenda South Africa unapata viza ya siku 90 free, kwa vile wanaokwenda wana mtindo wa kupeleka border kila baada ya siku hizo na kugongewa tena.
Asilimia kubwa wanaoshawishika kwenda huko ni vijana na vijana ndio wimbi kubwa lenye kashikashi kama uhuni, utafutaji na lolote lilopo mbele yao.
Kuna kipindi kama mtakumbuka wale watoto waliokuwa wanajiita panya rodi kutikisa jiji la Dar, baada ya kuzidiwa ikabidi waje kwa Madiba ila walikufa ovyo .
Tuje kwenye mada:
Afrika Kusini kuna kazi unaweza kutofanya nyumbani lakini ukaja kuzifanya huku.
Kazi hizi kama kuuza sigara barabarani, kuuza dawa za kulevya kama bangi, unga na n.k, kuwa kinyozi, kuiba inategemea na kiwango, kununua mali za wizi, kuuza dukani.
Ukiona mtu anakwambia anataka kwenda huko muulize una elimu kwanza halafu vibali unavyo.
Maisha ya huku sio
Tanzania ni moja ya nchi kwenda South Africa unapata viza ya siku 90 free, kwa vile wanaokwenda wana mtindo wa kupeleka border kila baada ya siku hizo na kugongewa tena.
Asilimia kubwa wanaoshawishika kwenda huko ni vijana na vijana ndio wimbi kubwa lenye kashikashi kama uhuni, utafutaji na lolote lilopo mbele yao.
Kuna kipindi kama mtakumbuka wale watoto waliokuwa wanajiita panya rodi kutikisa jiji la Dar, baada ya kuzidiwa ikabidi waje kwa Madiba ila walikufa ovyo .
Tuje kwenye mada:
Afrika Kusini kuna kazi unaweza kutofanya nyumbani lakini ukaja kuzifanya huku.
Kazi hizi kama kuuza sigara barabarani, kuuza dawa za kulevya kama bangi, unga na n.k, kuwa kinyozi, kuiba inategemea na kiwango, kununua mali za wizi, kuuza dukani.
Ukiona mtu anakwambia anataka kwenda huko muulize una elimu kwanza halafu vibali unavyo.
Maisha ya huku sio