Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,558
Kila mtu ana namna yake ya upendaji namimi leo sio mbaya nikashare nanyie jinsi ninavyompa marks mwanamke hadi inafikia namtokea yeye nasio wenzake.
- Kitu cha kwanza na kikubwa utakachopata marks kubwa kutoka kwangu ni mkia, aisee ukishakuwa na mkia basi ushanimaliza unakula alama A yako saafi.
- Cha pili napenda mwanamke mwenye nyonyo kubwa mie mwenzenu ndo ugonjwa wangu hapo basi utapata B+ saafi
- Cha tatu ni kwenye kitovu hapo basi kama uko na tumbo flat aisee una B+ yako mapema sana.
- Cha mwisho namaliziaga kwenye guu, kama uko na guu la bia guu fulani hivi kama lile alilokuwa nalo zari basi pale unapata A yako mapema sana.
Mimi sura na sijui elimu huwa siangaliagi kabisa hivo vitu navipa neutral marks yaani sio vipaumbele vyangu. Huu ndo mfano wa calculation zinavyofanyika:
Mfano 1: mkia upo A, nyonyo ipo B+, tovu
B+, guu A = jumla (18/20)
Mfano 2: mkia hakuna C, nyonyo ipo B+, tovu ipo B+, guu la kawaida B+= jumla (14/20)
Mfano 3: mkia upo A, nyonyo B+, tovu B+, guu la kawaida B+ = jumla (17/20)
Hapo manzi wa kwanza anakuwa na marks nyingi basi automatically anakuwa selected. Hiyo ndo njia yangu kila mtu ana njia zake kama unanjia tofauti unaruhusiwa nawewe kuweka hapa.
- Kitu cha kwanza na kikubwa utakachopata marks kubwa kutoka kwangu ni mkia, aisee ukishakuwa na mkia basi ushanimaliza unakula alama A yako saafi.
- Cha pili napenda mwanamke mwenye nyonyo kubwa mie mwenzenu ndo ugonjwa wangu hapo basi utapata B+ saafi
- Cha tatu ni kwenye kitovu hapo basi kama uko na tumbo flat aisee una B+ yako mapema sana.
- Cha mwisho namaliziaga kwenye guu, kama uko na guu la bia guu fulani hivi kama lile alilokuwa nalo zari basi pale unapata A yako mapema sana.
Mimi sura na sijui elimu huwa siangaliagi kabisa hivo vitu navipa neutral marks yaani sio vipaumbele vyangu. Huu ndo mfano wa calculation zinavyofanyika:
Mfano 1: mkia upo A, nyonyo ipo B+, tovu
B+, guu A = jumla (18/20)
Mfano 2: mkia hakuna C, nyonyo ipo B+, tovu ipo B+, guu la kawaida B+= jumla (14/20)
Mfano 3: mkia upo A, nyonyo B+, tovu B+, guu la kawaida B+ = jumla (17/20)
Hapo manzi wa kwanza anakuwa na marks nyingi basi automatically anakuwa selected. Hiyo ndo njia yangu kila mtu ana njia zake kama unanjia tofauti unaruhusiwa nawewe kuweka hapa.