LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,105
- 27,088
Jamaa ana MKE wamezaa watoto wawili watatu. Yawezekana watoto bado wadogo au wamesha kua kua.
Then ghafla mke anafariki Dunia.
Maneno ya watu mitaani : Mume kamtoa mke wake kafara.
Hii NI hatari kubwa Sana shekhe wangu.
HAINA TOFAUTI NA RAMLI CHONGANISHI.
Una mchonganisha baba na watoto wake.
Hakuna mtoto anae weza kukubali mama ake mzazi atolewe kafara/ auliwe na mtu yotote yule hata Kama mtu huyo ni baba ake mzazi.
WHAT WILL BE THE REACTION:
Watoto wakikua lazima watamuua baba Yao Kama kulipa kisasi cha kifo cha mama Yao
it doesn't matter whether baba Yao alimtoa mama Yao kafara kweli au ni uzushi wa mitaani but as long as it has seated in the brains of the children , kwamba baba Yao ndo kamuua mama Yao, watoto lazima watatafuta kisasi Tu.
Na KWA sababu hawajui ulozi basi watamuua kwa njia za kawaida . Sumu, kumshambulia etc, whichever come first.
Mbali na watoto hata ndugu wa Marehemu pia wanaweza ku avenge.
Maneno yanasemwa mitaani, Yana andikwa mitandaoni, watoto wanaona. Hata kama bado hawajaanza kuwa na access ya kutumia mitandao ya kijamii but wanakua.
Utafika umri watajua Tu . Na wakijua lazima watafute kulipa kisasi.
Tunapo toa maoni yetu kuhusu mtu fulani kuhisiwa kumtoa kafara mke wake au ndugu yake tunapaswa kufahamu kwamba tunacho kifanya ni KUTENGENEZA uadui mkubwa Sana Kati ya mtu huyo na watoto wake
Na wewe unaesoma makala haya Kama umefiwa na MKE na mtaani kwenu watu wanazusha kwamba wewe ndio umemtoa mke huyo kafara na mke huyo ulizaa nae watoto, just watch urself.
Kuwa na uhakika kwamba watoto wako wakiwa wakubwa lazima watamuua revenge. Njoo just njoo mvua they must revenge
Kama hauna mkono wako kwenye kifo cha mkeo basi Mungu atakulinda Lakini Kama kweli ulihusika na kifo cha MKE wako basi usijione mjanja hata kidogo. The victory of evil over good is just for a while. Mwisho wa siku lazima watoto wako walipize kifo cha mama Yao. I can put one hundred percent to each and every letter that constitute my thread.
Kabla sija mjua Yesu nilikuwa najihusisha na ulozi.
Familia nyingi Sana watu wamefarakana kwa sababu ya shutuma Kama hizi.
Halafu dada zangu mlio olewa na wanaume chimba fukia, siku ukihisi umetupiwa jini usiende kwa waganga. Nenda kwa Yesu. Nenda kanisani madhabahuni ukaombewe. The effect of evil spirit attacks can only be reversed by Jesus Christ
Jesus is a very strong and powerful authority in the realm of the spirit.
All the Demons and Evil spirits recognize the authority of Jesus
Only Jesus have authority over the demons.
Sword of God, hold not thy peace until there is destruction in the camps of all wicked people who seek to sacrifice the bloods of other people.
In the name of Jesus Amen.
mods please msiunganishe Uzi huu na nyuzi nnyinginei
Then ghafla mke anafariki Dunia.
Maneno ya watu mitaani : Mume kamtoa mke wake kafara.
Hii NI hatari kubwa Sana shekhe wangu.
HAINA TOFAUTI NA RAMLI CHONGANISHI.
Una mchonganisha baba na watoto wake.
Hakuna mtoto anae weza kukubali mama ake mzazi atolewe kafara/ auliwe na mtu yotote yule hata Kama mtu huyo ni baba ake mzazi.
WHAT WILL BE THE REACTION:
Watoto wakikua lazima watamuua baba Yao Kama kulipa kisasi cha kifo cha mama Yao
it doesn't matter whether baba Yao alimtoa mama Yao kafara kweli au ni uzushi wa mitaani but as long as it has seated in the brains of the children , kwamba baba Yao ndo kamuua mama Yao, watoto lazima watatafuta kisasi Tu.
Na KWA sababu hawajui ulozi basi watamuua kwa njia za kawaida . Sumu, kumshambulia etc, whichever come first.
Mbali na watoto hata ndugu wa Marehemu pia wanaweza ku avenge.
Maneno yanasemwa mitaani, Yana andikwa mitandaoni, watoto wanaona. Hata kama bado hawajaanza kuwa na access ya kutumia mitandao ya kijamii but wanakua.
Utafika umri watajua Tu . Na wakijua lazima watafute kulipa kisasi.
Tunapo toa maoni yetu kuhusu mtu fulani kuhisiwa kumtoa kafara mke wake au ndugu yake tunapaswa kufahamu kwamba tunacho kifanya ni KUTENGENEZA uadui mkubwa Sana Kati ya mtu huyo na watoto wake
Na wewe unaesoma makala haya Kama umefiwa na MKE na mtaani kwenu watu wanazusha kwamba wewe ndio umemtoa mke huyo kafara na mke huyo ulizaa nae watoto, just watch urself.
Kuwa na uhakika kwamba watoto wako wakiwa wakubwa lazima watamuua revenge. Njoo just njoo mvua they must revenge
Kama hauna mkono wako kwenye kifo cha mkeo basi Mungu atakulinda Lakini Kama kweli ulihusika na kifo cha MKE wako basi usijione mjanja hata kidogo. The victory of evil over good is just for a while. Mwisho wa siku lazima watoto wako walipize kifo cha mama Yao. I can put one hundred percent to each and every letter that constitute my thread.
Kabla sija mjua Yesu nilikuwa najihusisha na ulozi.
Familia nyingi Sana watu wamefarakana kwa sababu ya shutuma Kama hizi.
Halafu dada zangu mlio olewa na wanaume chimba fukia, siku ukihisi umetupiwa jini usiende kwa waganga. Nenda kwa Yesu. Nenda kanisani madhabahuni ukaombewe. The effect of evil spirit attacks can only be reversed by Jesus Christ
Jesus is a very strong and powerful authority in the realm of the spirit.
All the Demons and Evil spirits recognize the authority of Jesus
Only Jesus have authority over the demons.
Sword of God, hold not thy peace until there is destruction in the camps of all wicked people who seek to sacrifice the bloods of other people.
In the name of Jesus Amen.
mods please msiunganishe Uzi huu na nyuzi nnyinginei