LETA UTAMU.....FAFANUA NIKO DISPENSARY HAPA SIUMWI KIVIIIILEHapo kwenye dawa za minyoo na dawa za kupunguza maumivu sikubaliani na wewe. Baadhi ya hizi dawa unaweza kumeza kwa kutumia bia kama maji na hakuna madhara ya moja kwa moja yatakayoonekana.