Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,811
- 6,780
Mkuu, Kwa "Kichaa" nami ni mtupu kabisa hapo.Habarini wana JF wenzangu.
Naomba kufahamishwa pia ivi vitu vinaitwaaaje kwa KINGEREZA.
1.pili pili kichaa.
2.pili pili mbuzi
3.magimbi.
Asanteen
Dengue-CowpeasNitajibu nazojua naanza na;
Bamia - Okra (lady's fingers)
Dengu - The Deng's au The Dengue
Mkuu Alaik uko vizuri mkuu , lakini naomba ucheki vizuri figili/ figiri sidhani kama inaitwa hivyo as Ethiopian mustard naomba utuchekie tenaMlenda= Jutemallow
Bamia= Okra
Nyanyamshumaa= African eggplant
Mchicha= Amaranth
Kunde= Cowpea
Mbaazi= Pegionpea
Dengu= Lentil
Majani ya kunde= Cowpea leaves
Matembele= Sweet potato leaves
Biringanya= Eggplant
Figiri= Ethiopian Mustard
Choroko= Greengram/Mungbean
Hoho= Sweet pepper
Mkuu, Shukrani sana kwa mchango wako.Mkuu Alaik uko vizuri mkuu , lakini naomba ucheki vizuri figili/ figiri sidhani kama inaitwa hivyo as Ethiopian mustard naomba utuchekie tena
Mkuu, Nashukuru sana kwa mchango wako.Dengue-Cowpeas
Sawa MkuuMkuu, Nashukuru sana kwa mchango wako.
Kama ukipata wasaa naomba unichekie na "KUNDE" pia.
Bamia - okraHabari za muda huu wa wanaJF!
Kama yalivyo maelezo hapo juu.
Naomba kufahamu kwa Kiingereza majina ya mboga na nafaka zifuatazo:-
Mlenda, Bamia, Nyanyamshumaa, Mchicha, Kunde, Mbaazi, Dengu, Majani ya Kunde, Matembele, Bilinganya, Msusa, Figiri, Choroko, na Pilipili Hoho.
Natanguliza shukrani.
Sawa, Mkuu!Bamia - okra
Dengu - lentils
Choroko - green gram
Kunde - cow peas
Bilinganya - egg plant
Pilipili hoho zimetajwa na mdau hapo juu
Mengine watajazia wadau
shukrani kweli nimeoona kaka RegonaldMkuu, Kwa "Kichaa" nami ni mtupu kabisa hapo.
Utaona "Chilli Peppers" wakisema ni "Pilipili Kali" kigugumizi ni pale uki search "Pilipili Kichaa".
Lakini ukiangalia images zake pale www.google.com kwa "Chilli Peppers" au "Pilipili Kali" zinakuja, na muonekano ni ule ule wa "Pilipili Kichaa".
Safisha mboni hapa mkuu
www.african-food-recipes.blogspot.com/2019/02/translation-of-spices-from-english-to.html?m=1
Ubarikiwe sana mkuu!shukrani kweli nimeoona kaka Reginald
msahada wana JF wenzangu,
aina hizi za maharagwe kwa kingereza zinaitwaaaje?
Nawasilisha.View attachment 1941093
Shukrani sana kwa mchango wako wa dhati katika uzi huu.msahada wana JF wenzangu,
as ina hizi za maharagwe kwa kingereza zinaitwaaaje?
Nawasilisha.View attachment 1941093
www.myrecipes.com/ingredients/types-of-beansmsahada wana JF wenzangu,
as ina hizi za maharagwe kwa kingereza zinaitwaaaje?
Nawasilisha.View attachment 1941093
Haya majina ulikuwa unafanya masihara .....Mlenda - Mucus
Bamia - Lady finger
Nyanyamshumaa - Tomato-Candle
Mchicha - Leafy greens
Kunde - Micro beans
Mbaazi - Green Soy
Dengu- Yellow beans
Majani ya kunde - Micro bean leaves
Matembele - Front Saliva
Bilinganya - Purple Billi
Msusa - Muabandon
Figiri - Feegys
Choroko - Bad Meets Evil
Pilipili HoHo- Green Pepper