Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,297
- 33,082
hizi Komedi wanazofanya akina Joti na kundi lake kwanini wanawake wanakuwa hawapo? mimi ninajiuliza hakuna wanawake kwanini jamni?
Last edited by a moderator:
Mkuu.@Facilitator sijuwi anaendelea vipi? kwanini umeacha kutoangalia hizi komedi za kibongo?Hivi yule mwenzao mgonjwa anaendeleaje?? Kitambo sasa Nimeacha kuangalia hii kitu
Mkuu.@Facilitator sijuwi anaendelea vipi? kwanini umeacha kutoangalia hizi komedi za kibongo?