Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,170
Mi nalipiaga tu ila nakuja pandisha bei kwa ninaowauzia basi. Yaani kadiri TRA anavonikamua ndo na mie ninavohamishia burden ile kwa ninaemuuzia gari. sina muda wa kuhoji
Hilo nalo neno ila siku ukilipa kodi kubwa alafu unaoenda kuwauzia katika kipindi hicho purchasing power yao imekuwa ndogo kutokana na gharama za maisha kupanda nadhani ndio itakuwa muda muafaka kwako kupiga kelele.