Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Ccm hii ya sasa ni sawa na Chama cha National party (NP) cha makaburu wa Afrika kusini chini ya kina P W Botha, John Vorster na wengine hawa waliamini watu weusi sio binadamu na hapaswi kuwa na sauti wala kuheshimika, waliamini mawazo ya mtu mweusi yanapaswa kupuuzwa na mtu mweusi anapaswa kukandamizwa na kuuwawa...
Mjinga huyu anatoa kauli akifikiri upinzani unapaswa kufanya kazi zake kwa hisani ya ccm au kazi ya upinzani ni kusifia na kuimba mapambio kwa ccm..... karne hii huyu kijana anajifanya msomi hajui kwamba watu wanapaswa kushindanisha mawazo na wazo zuri linashinda...
kwanini vyombo vya dola vinalea ccm wakiwa wanatoa kauli hatarishi na za kichochezi kama hizi? Mauaji ya kimbari yalisababishwa na kauli za kihuni kama hizi.
John Heche.