Hizi katuni zinabeba ujumbe mzito sana.

BALAGASHIA

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
392
383
6b82d1b88a7f508e1587ca2a38b0681d.jpg
 
unaweza ukawa ujumbe mzito lkn usiwe na ukweli ktk namna isiyoeleweka!
 
Huwa zina maana kubwa, sema katuni huwa znabezwa saaana mtu akiona anacheka tuuu yanaisha
 
Kipanya anapaswa sasa amchore huyo jamaa aonekane amelemewa na uzito wa kichwa! Hilo komwe na devu (kidevu ni kidogo)
 
Tumuwekee bima kipanya!!
Bima ya maisha.
Wala kipanya siobwa kumuwekea bima.
Na huyo hapo hana kitu.
Kuna mtaalamu anaitwa said michaeli.
Huyo jamaa ni nyoko.
Kuna siku bashite uvumilivu utamshinda.. Ukiona alivyochora bichwa la magufuli utacheka aisee.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom