Hizi Kampuni/Wafanyabiashara wanaohujumu Demokrasia hatuna cha kuwafanya?

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Mar 11, 2020
2,704
6,499
Kumekuwa na tabia sasa ya Wafanya biashara kuwa nao msatari wa mbele kuhujumu Democrasia nchini.

Kuna pia Makampuni ambayo yanashiriki kuhujumu Democrasia.

Swali langu ni kwamba Je wapenda haku hatuna cha kuwafanya hawa?

Tuendelee kuwaona wakihujumu Democrasia na sisi tuishie kulalama tu?

Tufanye jambo ambalo litakujankuwapa funzo na litatoa funzo kwa wafanya biashara wengine.

Mfano;
Kule Iringa tunaambiwa project ya kununua Madiwani inasimamiwa na ASAS, hawa wana product za Maziwa.

Vodacom mara nyingi sana imetajwa kuhujumu,

Kuna Mabenki nayo yanatajwa kufanya hujuma ya Democrasia Tanzania.

Ni wakati sasa wa kufanya kitu ili wajue watu tupo na hatupendezwi na wanacho fanya.
 
Kumekuwa na tabia sasa ya Wafanya biashara kuwa nao msatari wa mbele kuhujumu Democrasia nchini.

Kuna pia Makampuni ambayo yanashiriki kuhujumu Democrasia.

Swali langu ni kwamba Je wapenda haku hatuna cha kuwafanya hawa?

Tuendelee kuwaona wakihujumu Democrasia na sisi tuishie kulalama tu?

Tufanye jambo ambalo litakujankuwapa funzo na litatoa funzo kwa wafanya biashara wengine.

Mfano;
Kule Iringa tunaambiwa project ya kununua Madiwani inasimamiwa na ASAS, hawa wana product za Maziwa.

Vodacom mara nyingi sana imetajwa kuhujumu,

Kuna Mabenki nayo yanatajwa kufanya hujuma ya Democrasia Tanzania.

Ni wakati sasa wa kufanya kitu ili wajue watu tupo na hatupendezwi na wanacho fanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja kwa asilimia 100
 
Kumekuwa na tabia sasa ya Wafanya biashara kuwa nao msatari wa mbele kuhujumu Democrasia nchini.

Kuna pia Makampuni ambayo yanashiriki kuhujumu Democrasia.

Swali langu ni kwamba Je wapenda haku hatuna cha kuwafanya hawa?

Tuendelee kuwaona wakihujumu Democrasia na sisi tuishie kulalama tu?

Tufanye jambo ambalo litakujankuwapa funzo na litatoa funzo kwa wafanya biashara wengine.

Mfano;
Kule Iringa tunaambiwa project ya kununua Madiwani inasimamiwa na ASAS, hawa wana product za Maziwa.

Vodacom mara nyingi sana imetajwa kuhujumu,

Kuna Mabenki nayo yanatajwa kufanya hujuma ya Democrasia Tanzania.

Ni wakati sasa wa kufanya kitu ili wajue watu tupo na hatupendezwi na wanacho fanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi ndio soko ikibainika wakalimie meno tu ni kuwadelete tu sawa na wasanii waliokufa kibudu kwa kuisapoti ccm kisha ccm nao ikawatupa kama toilet baada ya kupotea kisanaa,kimuziki nk.Wako wapi kina rose muhando,tmk wanaume,original comedy,bongo movies, mzee wa upako,nk
 
Zipo namna nyingi tu mkuu, ila hatuwez kuziweka hapa kwa sababau maalum.
Ila tunakushukuru kwa kuliona hili.
FB_IMG_1583938022646.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumekuwa na tabia sasa ya Wafanya biashara kuwa nao msatari wa mbele kuhujumu Democrasia nchini.

Kuna pia Makampuni ambayo yanashiriki kuhujumu Democrasia.

Swali langu ni kwamba Je wapenda haku hatuna cha kuwafanya hawa?

Tuendelee kuwaona wakihujumu Democrasia na sisi tuishie kulalama tu?

Tufanye jambo ambalo litakujankuwapa funzo na litatoa funzo kwa wafanya biashara wengine.

Mfano;
Kule Iringa tunaambiwa project ya kununua Madiwani inasimamiwa na ASAS, hawa wana product za Maziwa.

Vodacom mara nyingi sana imetajwa kuhujumu,

Kuna Mabenki nayo yanatajwa kufanya hujuma ya Democrasia Tanzania.

Ni wakati sasa wa kufanya kitu ili wajue watu tupo na hatupendezwi na wanacho fanya.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nilitaka kuona mtu mwenye evidences atoe kabisa

Vodacom nakumbuka ilishatufanyia us3nge

ASAS pia

GSM pia ina mambo ya kiqumar sana

Etc

Nilitaka kwa yeyote mwenye evidences a-expose haya madudu yote tuyafanyia mgomk wa hatari!

Mas3nge sana!
 
Kwa ASAS iko wazi kabisa, Iringa wanajua sana ukiuliza hata wananchi wa kawaida na hii hajaanza leo hata enzi za awamu ya 4 amefanya sana hizi hujuma
Nilitaka kuona mtu mwenye evidences atoe kabisa

Vodacom nakumbuka ilishatufanyia us3nge

ASAS pia

GSM pia ina mambo ya kiqumar sana

Etc

Nilitaka kwa yeyote mwenye evidences a-expose haya madudu yote tuyafanyia mgomk wa hatari!

Mas3nge sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ni kama Tanzania kutaka kumtunishia misuli USA, cha muhimu ni kukimbiza mwizi kimya kimya, tafuteni matajiri/wanasiasa wanaosapoti demokrasia, la sivyo ni mwendo wa kupoteza tu.
 
tuanze vodacom tanzania
Kumekuwa na tabia sasa ya Wafanya biashara kuwa nao msatari wa mbele kuhujumu Democrasia nchini.

Kuna pia Makampuni ambayo yanashiriki kuhujumu Democrasia.

Swali langu ni kwamba Je wapenda haku hatuna cha kuwafanya hawa?

Tuendelee kuwaona wakihujumu Democrasia na sisi tuishie kulalama tu?

Tufanye jambo ambalo litakujankuwapa funzo na litatoa funzo kwa wafanya biashara wengine.

Mfano;
Kule Iringa tunaambiwa project ya kununua Madiwani inasimamiwa na ASAS, hawa wana product za Maziwa.

Vodacom mara nyingi sana imetajwa kuhujumu,

Kuna Mabenki nayo yanatajwa kufanya hujuma ya Democrasia Tanzania.

Ni wakati sasa wa kufanya kitu ili wajue watu tupo na hatupendezwi na wanacho fanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom