MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Wiki hii kila ukifungulia tu Redio yoyote cha Kwanza utakachokutana nacho ni mambo ya Mahaba hasa kuelekea Siku ya Wapendanao (Valentine Day).
Je, ina maana Media za Tanzania zinashindwa pia kwa Umoja wao huu huu (Media Agenda) basi wakawa Wanayasema yale ya Ukweli kuhusu Maisha ya Mtanzania, Demokrasia ya Tanzania na Kukosoa Mapungufu ya Watawala (Serikali) husika?
Au Akilini mwa Watanzania wengi ni Mambo ya Kupendana na Ngono tu pekee?
Je, ina maana Media za Tanzania zinashindwa pia kwa Umoja wao huu huu (Media Agenda) basi wakawa Wanayasema yale ya Ukweli kuhusu Maisha ya Mtanzania, Demokrasia ya Tanzania na Kukosoa Mapungufu ya Watawala (Serikali) husika?
Au Akilini mwa Watanzania wengi ni Mambo ya Kupendana na Ngono tu pekee?